Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

Mshamba wa kusini

JF-Expert Member
Jun 30, 2015
2,236
2,297
Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana maana nimepiga mpaka puli lakini bado.
 
Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana.
rudi kwa rafiki yako na umuombe ushauri kama ulivomuomba mwanzo. naimani atakusaidia
 
Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana.
yuma picha tuhakikishe kwanza.. isije kuwa story//

then msaada unafuata
 
Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana.
😁😁😁😁😁😁kuna mambo mengine yanafurahisha sana .. mtu kataka mashine isimame halafu now unataka tena msada wa kurudisha jaman.. msimkufuru Mungu ktk madawa ya asili mtakuja katika viungo au kupata mikosi mingiii.
 
Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana.

Mkuu Yule demu uliye mkimbia kisa umemuona nyoka ndiyo alikuja ukaamua kumywea Dawa kabisa.
 
worldboss si ulitaka kumkomesha binti wa watu, sasa imekula kwako. Anyway chukuwa tikiti maji, litobe kulingana na kipenyo cha gegedeo lako, kisha liweke kwenye friji kwa muda wa risaa rimoja kisha litoe , nenda nalo kitandani na anza kuligegeta mpaka ukojoe, muda wote huo ukilia kwa kutaja jina la huyo binti. Rudisha mlisho nyuma hapa.
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom