"uume siyo pesa"

"uume siyo pesa"

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,974
Imenibidi nije na UZI huu kutokana na saikolojia ya wanawake wengi pindi watongozwapo na wanaume na kuanza uhusiano nao,wengi hudhani kuwa sasa ni mwanzo wa maisha yao kubadilika kiuchumi,mwanzo wa mahusiano anaweza ukahisi umepata mwanamke sahihi,baada ya muda anaanza MIZINGA mara naomba PESA ya kula,naomba PESA ya salon,naomba PESA ya kulipia kodi ya chumba nk.Hivi ulivyokubali kirahisi KUMBE ulikuwa na lengo la kumfanya mwanaume kuwa ATM,uchote pesa kadiri utakavyo..? Pia utakuta mwanamke ana kibarua chake ila anajitoa ufahamu na kuona PESA hazifai kutumia kwa matumizi yake zaidi ya kuomba kwa wanaume,nasema wanaume wengi wameanza kushtuka na USANII wenu..Hata kama mwanaume ni KICHWA cha familia/mahusiano ila NJAA zenu zimezidi kwa baadhi ya wanawake..!@! Kama UTAMU mwapata wote ya nini kupeana STRESS za kijinga kijinga..???
 
Nani alisema uume ni pesa?

Hutaki majukumu afu unataka uwe kichwa? Wanchekesha!!
 
Nani alisema uume ni pesa?

Hutaki majukumu afu unataka uwe kichwa? Wanchekesha!!

Baadhi ya wanawake na wasichana wanaathirika na kuamini kila mwanaume ana pesa,hivyo huwa hawaamini pindi mwanaume anaposema hana pesa.Maisha ni kusaidiana tangu Enzi za Adamu na Eva,ila siku za karibuni imejitokeza tabia ya UTEGEMEZI uliokubuhu toka kwa KE kwenda kwa ME.Majukumu ya ME katika familia yanajulikana ila mengine ni TOO MUCH...Mara salon,mara gari,mara holiday DUBAI,huku yeye KE akiwa hachangii chochote hapo utasema ME kama kichwa cha familia/mahusiano ataweza kumudu ikiwa uwezo wake ni MDOGO kifedha..??
 
wanawake wanageuza dhana hata ya mungu.. mungu aliwaleta wawe wasaidiz wetu sio wanyonyaji wetu!!!
 
Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?
 
MWANAUME ATAKULA KWA JASHO MWANAMKE ATAZAA KWA UCHUNGU.......mi hua napiga kaz kwa bidii sana ata ofisin wananjua ila nkipokea tu mshahara brake ya kwanza kwa my sweet tunatumi I don't care na wala siwez lalamika manake shez ma sweet potato.
 
Baadhi ya wanawake na wasichana wanaathirika na kuamini kila mwanaume ana pesa,hivyo huwa hawaamini pindi mwanaume anaposema hana pesa.Maisha ni kusaidiana tangu Enzi za Adamu na Eva,ila siku za karibuni imejitokeza tabia ya UTEGEMEZI uliokubuhu toka kwa KE kwenda kwa ME.Majukumu ya ME katika familia yanajulikana ila mengine ni TOO MUCH...Mara salon,mara gari,mara holiday DUBAI,huku yeye KE akiwa hachangii chochote hapo utasema ME kama kichwa cha familia/mahusiano ataweza kumudu ikiwa uwezo wake ni MDOGO kifedha..??

Kwa nini usitafute wa mithili yako? umelazimishwa? tafuta anaye taka kula,kulala na kuvaa basi! haendani na fashion wala hataki luxury needs!
 
kwa nini usitafute wa mithili yako? Umelazimishwa? Tafuta anaye taka kula,kulala na kuvaa basi! Haendani na fashion wala hataki luxury needs!

naunga mkono hoja dau lake la mia halafu anataka wa 4,000 lazima aje kulia lia huku
 
Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?

Kaka nimekupenda bure!!!!!!!!!!!
 
Mtazamo wa siku hizi; MKE MWEMA
HUTOKA KWA MUNGU lakini MUME
BORA HUTOKA NMB, CRDB, NeBC, TRA,
BOT,SACCOS, M-PESA, TIGO PESA,
AIRTEL MONEY na kwingine
kunakohusiana na money money.

Tunayataka wenyewe si utafute wa aina yako,load..., search.... hadi kijijini kwenu! tatizo tunapenda tendo la ndoa kabla ya ndoa yenyewe kama watu wote tunge kuwa tunasubiri ndoa tusinge kuja kulia hapa tunavunja miko wenyewe tukivunjiwa tunalia! tunataka tendo la ndoa majukumu mengine ya ndoa hatutaki!!!!!!
 
Blah! Blah! Blah! Kila mahusiano yana nature yake.
Unadhani Adamu alimwambia Eva akalime au akawinde?

Baadhi ya wanawake na wasichana wanaathirika na kuamini kila mwanaume ana pesa,hivyo huwa hawaamini pindi mwanaume anaposema hana pesa.Maisha ni kusaidiana tangu Enzi za Adamu na Eva,ila siku za karibuni imejitokeza tabia ya UTEGEMEZI uliokubuhu toka kwa KE kwenda kwa ME.Majukumu ya ME katika familia yanajulikana ila mengine ni TOO MUCH...Mara salon,mara gari,mara holiday DUBAI,huku yeye KE akiwa hachangii chochote hapo utasema ME kama kichwa cha familia/mahusiano ataweza kumudu ikiwa uwezo wake ni MDOGO kifedha..??
 
Kwa nini usitafute wa mithili yako? umelazimishwa? tafuta anaye taka kula,kulala na kuvaa basi! haendani na fashion wala hataki luxury needs!
Shida ni kwamba leo utapata KE wa kawaida sana ila baada ya muda na yeye anataka kufanana na wengine wa high classic life.Unasikia wabunge wastaafu wanalamika maisha magumu baada ya kustaafu ubunge hiyo yote inachangiwa kiasi kikubwa na hawa KE waliozoea luxury life wakati ME wapo mjengoni.Life has change.so hata kama leo unavijisenti vyako usifikiri unaguarantee ya kuwa navyo milele.Wwatch out..!@!
 
kama yeye hawezi awapishe watu na hela zao bwana
Hakuna mtu mwenye kuarantee ya PESA,sembuse wewe na hao wenzako wenye vijisenti..? Fikiria wabunge wastaafu wanavyolia sasa maisha magumu,yote hiyo imetokea kutokana na kuzoesha UJINGA katika matumizi yasiyo ya lazima kwa KE wao,leo hii wamegeuka matonya ili tu wapate vijisenti vya kuwaridhisha KE wao,usijikweze kwa kuwa una vimilioni kadhaa..Kumbuka siku vikiyeyuka je utaendelea kuwa na huyo KE wako..Kikubwa hapa sizungumzii mahusiano ya short time nazungumzia maisha ya future kati ya ME na KE..!@!
 
Shida ni kwamba leo utapata KE wa kawaida sana ila baada ya muda na yeye anataka kufanana na wengine wa high classic life.Unasikia wabunge wastaafu wanalamika maisha magumu baada ya kustaafu ubunge hiyo yote inachangiwa kiasi kikubwa na hawa KE waliozoea luxury life wakati ME wapo mjengoni.Life has change.so hata kama leo unavijisenti vyako usifikiri unaguarantee ya kuwa navyo milele.Wwatch out..!@!
Ndio maana tulikua analog sasa tuko digital, ulikuwa, mtoto sasa ni kijana bila kusahau utakuwa mzee baada ya umri wa makamo!
mabadiliko kwa binadamu namaanisha hayaepukiki hivyo kama uwezo wako ni wa kukimbia tafuta mtu anaye tambaa ili akianza kutembea anakuta fashion hiyo ilishapitwa na wakati naye pia si wakati wake kufanya hivyo tena! sijui kama umenielewa, ila kifupi ni hivi mabadiliko ya mtu mwenye maadili ya kawaida yanachukua muda labuda huyo awe bandidu kweli!!!!!!!!!!!
 
Baadhi ya wanawake na wasichana wanaathirika na kuamini kila mwanaume ana pesa,hivyo huwa hawaamini pindi mwanaume anaposema hana pesa.Maisha ni kusaidiana tangu Enzi za Adamu na Eva,ila siku za karibuni imejitokeza tabia ya UTEGEMEZI uliokubuhu toka kwa KE kwenda kwa ME.Majukumu ya ME katika familia yanajulikana ila mengine ni TOO MUCH...Mara salon,mara gari,mara holiday DUBAI,huku yeye KE akiwa hachangii chochote hapo utasema ME kama kichwa cha familia/mahusiano ataweza kumudu ikiwa uwezo wake ni MDOGO kifedha..??

Ni bora awe KE basi tujue moja
 
Back
Top Bottom