Uume kusinyaa

wakuu kweli hayo matatizo yapo koz hata mimi ninayo. ila cjapata tiba bado
 
Kuna jamaa mmoja alikuawa akinielezea kuhusu hilo tatizo anasema kwamba inakuwa inasinya inakuwa ndogo je anawe kifanyaje ili tatizo hilo limwondoke?

kwa hapa moshi ni hospitali gani naweza kupata msaada wa tatizo hilo,nami linanisumbua,msaada tafadhali
 
matmaca hii sii tuu ya kuamsha hisia wakati unataka kufanya tendo la ndoa. bali inakuweka stable na kuipa nguvu mishipa ya kiume uwezo mkubwa wa kupitisha damu katika uume na ivo kufanya uwe imara mda wote. inakurudishia uwezo na hamu ya kufanya tendo la ndoa mda wote. ni bidhaa isiyo na chemical.



UWXFJCsmWVFliQSwBAjhkMghBaAYQAkWJRmSYEiUFuWITBiJJzIvSYCI5RPloMBCgWUFDmCIZEwUWZBFFvFhnqMxgqLIQcDzPEIIEYwI5pHAQEBxLA04locACRAjgDDLQ5aDDMOIEMoAShwQWQ6xLGJZgWEEhsEQQIZmI2GWoRDgBB7wLMNREQS4v4SNhEWBR4ADNIVYlmcZxLKJqBKemvwfcunqAUbTqh4AAAAASUVORK5CYII=


unahitaji wasiliana na mm- 0765377506
 
Pole kaka kwa maradhi...

Hivi hujagonga demu wa mtu kweli ukarogwa wewe??...huo ni uchawi wa sumbawanga tafadhali chukua hatua za kijadi.... JUST KIDDING ... ila huwa yanatokea kwa mambo ya kiswahili na hasa ukiwa chapachapa wa wake za watu.
Ha ha ha haaah!! who Cares? Sumbawanga hakuna uchawi wa hivi labda pwani.
 
Last edited by a moderator:
ili uzae inabid utoe mbegu na ili utoe mbegu inabid mboo isimame bt kama utalazimisha hadi ikasimama na ukaweza kuiga bao hapo una asilimia 90 za kuzalisha kama hamna matatizo mengine mi nawashauli mfanye mazoez tu
 
1.fanya mazoezi ya kegal
2.kula vyakula vyenye zinc kwa wingi
3.fanya mazoezi ya mwili kama mwili wako ulivyo
4kunywa chai ya tangawizi,
5. Kama nimfanysji wa ngono sana punguza unywaji wa pombe
6.kama unafanya punyeto fanya kwa kiwango kilichoshauriwa
n.b ukiwa na mboo kubwa lazima uwe na pumbu kubwa kwahiyo usishtuke
 
1.fanya mazoezi ya kegal
2.kula vyakula vyenye zinc kwa wingi
3.fanya mazoezi ya mwili kama mwili wako ulivyo
4kunywa chai ya tangawizi,
5. Kama nimfanysji wa ngono sana punguza unywaji wa pombe
6.kama unafanya punyeto fanya kwa kiwango kilichoshauriwa
n.b ukiwa na mboo kubwa lazima uwe na pumbu kubwa kwahiyo usishtuke
hivi kumbe kuna kiwango kilichoshauriwa......we mkali
 
Jaman hyo ni kwel bt kuna wa2 uume wao huwa mdogo saana kabla haujasimama na ukisimama huwa mkubwa tatizo n nn? Pia kwa wa2 hawa walio na uume mdogo wafanyeje ili kukuza uume wao?
 
Kusinyaa kunakozungumziwa hapa ni kule kunakotokea wakati wa majambozi.Haizungumziwi kwamba muda wote jogoo awe wima,hapana.Kwakweli hili ni tatizo la kijamii ambalo walio nalo wanahitaji msaada wa dhati na si utani.Maana naona hapa watu wengine wameingia lakini wanafanya mzaha.
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom