Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
Leo nimeamini wale wasemge wanaisingizia sana nyeto umbwa wale ooh nyoko nyoko nyeto uume unasimama lege nyanokouume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika
Acha uongo bana! Wewe ni mpiga nyeto tuWadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Kama ni kweli basi alikuwa na tatizo ka nguvu za kiume tangu kauzaliwa.Hatutoi ushauri mpaka utengue kauli, yaani uangalie porn videos halafu usipige nyeto na hauna mwanamke?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli basi alikuwa na tatizo ka nguvu za kiume tangu kauzaliwa.
Hakuna mtu aliezaliwa na tatizo la nguvu za kiume tangu mdogo.
Huyu ni nyeto na vijana wa sasa ukiwakataza na hili janga wanakua wakali sana.
Naunga mkono hoja. Kuna mwamba (Stirling Cooper) kwenye kitabu chake anaelekeza kitu kinachofanana na hicho. Yaani jinsi unavyonyetuka ndio aidha itakuongezea uwezo kitandani au itakupunguzia.Ona, mwili una akili yake
Mwili unafundishwa na unafundishika.
Mwili wako (au mboo yako to be exact) uliufundisha kwamba kutoa manii yaani kufika mshindo sio lazima usimame imara. Ushahidi ni wewe kufika mshindo bila kujishika wala nn ulivyokuwa ukicheki porn.
Hilo lilitosheleza mahitaji ya wakati ule, lakini sasa mahitaji ni uume usimame imara ili uduu.
Basi jifundishe upya, jifundishe (ufundishe uume) kuwa ili umwage ni lazma upitie na upenyeze mazingira magumu.
Tafuta punyeto ya kimkakati itakayofanikisha lengo hilo.
Humu ndani wengi wanaisema saana punyeto kama janga.... lakini linaweza kuwa dawa FUATILIA
Kama sekta zingine uko sawa, yaani asubuhi unapata erection tatizo ni ulegevu tuu. Kuna option mbili na zote kwangu zinafanya kazi ila nitayokuelekeza ya kwanza ndo naiona ni salama zaidi.Wadau wengi mliochangia mmedhani sisimamishi kabisa,nasimamisha ila nikifika dk 2 askari anakuwa legelege hana nguvu na kurudi anachelewa
Mkuu hiyo avatar na id vinachekesha sanaHahaha kwann mkuu unasema hivyo
........wasanii mnashangaa!!!!Analeta Sanaa kwenye jumba la Sanaa😂
Achana nao, tafuta hela.Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Kambato ila kilegelege, sasa anataka kukandamiza kibara😂Kwahyo mwanetu hujawahi kumbato?
Ulikua unatumia supplements?Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Anainuka sisi tunakaa........wasanii mnashangaa!!!!
Kama ulikuwa unafika mshindo bila kugusana na kitu chochote kile!Amini mkuu nilikuwa nazipakua nacheki tu mpka mshindo