Uturuki wakamata majasusi wa Israel

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,994
32,432
Wanaukumbi.

Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.

According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering

=====

Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.

Kulingana na ripoti za polisi wa Uturuki, mipango yao ilikuwa mauaji, milipuko ya mabomu, na kukusanya habari

 
Wanaukumbi.

Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.

According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering

=====

Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.

Kulingana na ripoti za polisi wa Uturuki, mipango yao ilikuwa mauaji, milipuko ya mabomu, na kukusanya habari.
View attachment 2862465
Wawalete tuwatoe bikra hao
 
Wataachiwa tu bule kabisa mkuu na jambo lao watalifanya vilevile, labda wasiwe wayahudi
 
Wataachiwa tu bule kabisa mkuu na jambo lao watalifanya vilevile, labda wasiwe wayahudi
Vipi Wayahudi mateka wao wameishawakomboa? Mwezi wa tatu sasa kasehemu kenyewe ka Gaza Kigamboni kubwa hao wayahudi hizo sifa mnazowapa za nini labda kupga mabomu watoto na wagonjwa, wamewaingiza chaka wenzao Mturuki anapiga vitanzi wote hao.
 
Wanaukumbi.

Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.

According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering

=====

Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.

Kulingana na ripoti za polisi wa Uturuki, mipango yao ilikuwa mauaji, milipuko ya mabomu, na kukusanya habari

View attachment 2862465
Wewe unasema Serikali ya Uturuki imekamata Majasusi wa Israel.

Wakati serikali ya Uturuki katika taarifa yake rasmi wanasema wanawahisi kuwa hao waliokamatwa ni waturuki wanafanya upelelezo kwa ajili ya Mossad.

Wapinzani na wachambuzi nchini Uturuki wanasema hizo ni sarakasi na twist tu za serikali wakati wanajiandaa na Uchaguzi wa Mwezi March mwaka huu. Maana awali walisema wamewakama ISIL wakijiandaa kufanya mashambulizi wakati wa mkesha wa mwaka mpya, ila baada ya kauli ya mkuu wa Shin Bet kwamba wanakwenda kusambaratisha Hamas popote walipo ikiwemo huko Lebanon, Turkey na Qatar, ndipo Turkey nayo ikaja na kauli ya kukamata hao watu, tena ikiwatoa kwenye list ileile ya wale iliowakamata ikiwatuhumu kuwa ni ISIL

Haya hebu tuambie faster, tukuamini wewe?
Tuiamini serikali ya Uturuki?
Tuwaamini wachambuzi na wapinzani nchini uturuki?
 
Vipi Wayahudi mateka wao wameishawakomboa? Mwezi wa tatu sasa kasehemu kenyewe ka Gaza Kigamboni kubwa hao wayahudi hizo sifa mnazowapa za nini labda kupga mabomu watoto na wagonjwa, wamewaingiza chaka wenzao Mturuki anapiga vitanzi wote hao.
Ningependa kuamini mlichokisema awali kwamba, uvamizi wa Hamasi kwa wayahudi ilikuwa ni mbinu ya Israel kuivamia Palestine

Mkiikana hii kauli tutaanza kujadili juu ya mateka
 
Wewe unasema Serikali ya Uturuki imekamata Majasusi wa Israel.

Wakati serikali ya Uturuki katika taarifa yake rasmi wanasema wanawahisi kuwa hao waliokamatwa ni waturuki wanafanya upelelezo kwa ajili ya Mossad.

Wapinzani na wachambuzi nchini Uturuki wanasema hizo ni sarakasi na twist tu za serikali wakati wanajiandaa na Uchaguzi wa Mwezi March mwaka huu. Maana awali walisema wamewakama ISIL wakijiandaa kufanya mashambulizi wakati wa mkesha wa mwaka mpya, ila baada ya kauli ya mkuu wa Shin Bet kwamba wanakwenda kusambaratisha Hamas popote walipo ikiwemo huko Lebanon, Turkey na Qatar, ndipo Turkey nayo ikaja na kauli ya kukamata hao watu, tena ikiwatoa kwenye list ileile ya wale iliowakamata ikiwatuhumu kuwa ni ISIL

Haya hebu tuambie faster, tukuamini wewe?
Tuiamini serikali ya Uturuki?
Tuwaamini wachambuzi na wapinzani nchini uturuki?
huyo jamaa ni pro hamas kindakindaki jamaa zake watapigika akose cha kuandika
 
Wewe unasema Serikali ya Uturuki imekamata Majasusi wa Israel.

Wakati serikali ya Uturuki katika taarifa yake rasmi wanasema wanawahisi kuwa hao waliokamatwa ni waturuki wanafanya upelelezo kwa ajili ya Mossad.

Wapinzani na wachambuzi nchini Uturuki wanasema hizo ni sarakasi na twist tu za serikali wakati wanajiandaa na Uchaguzi wa Mwezi March mwaka huu. Maana awali walisema wamewakama ISIL wakijiandaa kufanya mashambulizi wakati wa mkesha wa mwaka mpya, ila baada ya kauli ya mkuu wa Shin Bet kwamba wanakwenda kusambaratisha Hamas popote walipo ikiwemo huko Lebanon, Turkey na Qatar, ndipo Turkey nayo ikaja na kauli ya kukamata hao watu, tena ikiwatoa kwenye list ileile ya wale iliowakamata ikiwatuhumu kuwa ni ISIL

Haya hebu tuambie faster, tukuamini wewe?
Tuiamini serikali ya Uturuki?
Tuwaamini wachambuzi na wapinzani nchini uturuki?
Unaandika uharo mtupu hata uweleweki. mimi nimeandika hivi.
Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.
Nimeweka na chanzo kuna link chini ya uzi wangu…
Wewe umekuja na porojo zako kutoka kwenye vijiwe vya mbege kisha unataka majibu weka chanzo cha habari zako.
 
Wewe unasema Serikali ya Uturuki imekamata Majasusi wa Israel.

Wakati serikali ya Uturuki katika taarifa yake rasmi wanasema wanawahisi kuwa hao waliokamatwa ni waturuki wanafanya upelelezo kwa ajili ya Mossad.

Wapinzani na wachambuzi nchini Uturuki wanasema hizo ni sarakasi na twist tu za serikali wakati wanajiandaa na Uchaguzi wa Mwezi March mwaka huu. Maana awali walisema wamewakama ISIL wakijiandaa kufanya mashambulizi wakati wa mkesha wa mwaka mpya, ila baada ya kauli ya mkuu wa Shin Bet kwamba wanakwenda kusambaratisha Hamas popote walipo ikiwemo huko Lebanon, Turkey na Qatar, ndipo Turkey nayo ikaja na kauli ya kukamata hao watu, tena ikiwatoa kwenye list ileile ya wale iliowakamata ikiwatuhumu kuwa ni ISIL

Haya hebu tuambie faster, tukuamini wewe?
Tuiamini serikali ya Uturuki?
Tuwaamini wachambuzi na wapinzani nchini uturuki?
Sijasema mimi usiwe punguani soma hii.

 
Unaandika uharo mtupu hata uweleweki mimi nomeandikq hivi.

Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.

Nimeweka na chanzo kuna link chini ya uzi wangu…
Wewe umekuja na porojo zako kutoka kwenye vijiwe vya mbege kisha unataka majibu weka chanzo cha habari zako.
Ndiyo tatizo la kuandika ukiwa umekalia vitu. Wewe unaandika hisia zako huku ukineng'eneka.
Wakati ukweli ni tofauti kabisa. Mafala pekee ndiyo utafanikisha kuwalisha huo uharo wako unaokuvuja, lakini kamwe si mtu anayejielewa
 
Sijasema mimi usiwe punguani soma hii.

Acha ufala wewe dogo, nenda ukasome ulichokiandika kwa hisia zako halafu soma kilichomo kwenye hiyo link uliyoileta.
Unafikiri humu kuna wenye utoto wa akili kama ulio nao wewe?
 
Ndiyo tatizo la kuandika ukiwa umekalia vitu. Wewe unaandika hisia zako huku ukineng'eneka.
Wakati ukweli ni tofauti kabisa. Mafala pekee ndiyo utafanikisha kuwalisha huo uharo wako unaokuvuja, lakini kamwe si mtu anayejielewa
Wewe utakuwa unatafuta basha kwa nguvu nakuwekea chanzo kingine kutoka kwa mabasha zako Israel.
 
Acha ufala wewe dogo, nenda ukasome ulichokiandika kwa hisia zako halafu soma kilichomo kwenye hiyo link uliyoileta.
Unafikiri humu kuna wenye utoto wa akili kama ulio nao wewe?
Usiletee tabia za kishoga mimi nimeandika hivi.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.

According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering
Ulivyokuwa punguani ufahamu hata maana ya Jasusi.
>>>>>>>>>>>>>>>
Utakuwa una ujauzito wewe kapime mkojo.
 
Usiletee tabia za kishoga mimi nimeandika hivi.

Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.

According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering

Ulivyokuwa punguani ufahamu hata maana ya Jasusi.
Ona ulivyo fala, lete hicho ulichoandika kwa Kiswahili. Ulichoandika kwa Kiswahili umepotosha mazima, kwa kukusaidia tu, rudi usome tittle ya thread yako, ndiyo utaelewa hicho ulichokiandika kwa Kiswahili hata kama ume edit.
 
Back
Top Bottom