Uturuki na Irani hawaoni ndugu zao wanavyouawa Palestina, kwanini hawaingilii?

Muarabu Lema kakimbilia kenya and then Canada
 
Wakristo wengi wanasapoti taifa la Israel kwa sababu ya kiblia. Ila hawasapoti wakristo walioko Israeli wala wayahudi. Wanaihudu tu Israeli kulingana na mwongozo wao wa biblia.
 
Wakristo wengi wanasapoti taifa la Israel kwa sababu ya kiblia. Ila hawasapoti wakristo walioko Israeli wala wayahudi. Wanaihudu tu Israeli kulingana na mwongozo wao wa biblia.
Kwahiyo mungu amehalalisha mauji dhidi ya watoto yanayo fanywa na Israel?
 
Waafrika ni watu waliochanganyikiwa dini zimewavuruga hawalalamiki magaidi wa Mozambique
 
Nchi za waarabu ziliungana kuishambulia Israel, unakumbuka kilichowapata?
Na hapo ndipo nchi nyingi za kiisram zinazoizunguka Israel zikasain mkataba wa kutoishambulia au kufanya vita na Israel. Ya kwanza ikiwa Misri. Zilizobakia kusain kipindi hicho ikiwemo Uarabuni,wamesain hivi karibuni. Na kwenye huo mkataba ni kuna vipengere hakutakuwepo vita kati yao. Vile vile nchi mojawapo ikiwa na vita na nchi nyingine,nchi mojawapo kati ya hizo zilizo kwenye huo mkataba isiingilie hiyo vita. Ni kama sasa uarabuni lazima wawe kimya kufuatana na mkataba waliosain,wamefungwa mikono na miguu. Israel akili kubwa sana wale watu.
 
Kwa tafsiri hii inaonekana ni wabinafsi sana, naskia hata wakimbizi wa kipalestina wamenyimwa uraia kwenye nchi za kiarabu?
Huwezi pewa uraia Uarabuni nilikua na msela wangu msryia babu yake alizaliwa Kuwait mpaka yeye amezaliwa Kuwait ila hawajapewa uraia wa kuwait
 
Huwezi pewa uraia Uarabuni nilikua na msela wangu msryia babu yake alizaliwa Kuwait mpaka yeye amezaliwa Kuwait ila hawajapewa uraia wa kuwait
Asee wao ndio wanaharibu maana ya uislamu sasa. Kwa mujibu wao uislamu ni undugu
 
Sasa mmoja ana nguvu kuliko mwingine ndio shida,kama ndugu basi atoke mtu wa kuamulia
Ugomvi wa Ndugu ambao ambao wamezaliwa na Mama tofauti ila Baba mmoja unahisi nani alitakiwa awe msuluhishi kama sio mzee wao?
 
Israeli ni USA na Europe in disguise. Waliunda alliance kukabiliana na mataifa ya kiarabu kiuchumi, kisiasa na kijamii.

basically izo nchi zilipigana na USA na washirika wake kwa mwamvuli wa Israel. Toka lini kataifa ka watu million 5 kazishinde nchi zaidi ya 3 tena zilizo vizuri kijeshi?

Harafu kina sisi, kina matayo wa vingunguti na buza. Tunaaminishwa, Israel ni taifa linalolindwa na mungu.
 
anasubiri takwimu za CNN na BBC huyo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…