Utumwa mpya ndani ya Kanisa

Ukweli huu ngumu kumeza, tujipe moyo lkn uangalie na sehemu ya kujipa moyo,huwezi sema unajipa moyo maji yatachemka huku umeweka mawe jikoni badala ya mkaa, nevaaaaa
 
Halafu ujinga ni ujinga tu si suala la mtu kwenda shule au kutokwenda kuna watu wanajazwa ujinga huku huku shule,hawa mnao waona wamekosa elimu ndio maana wanaibiwa huko makanisani ndio hawa hawa hujisifu kwa kuwa na elimu ya dunia kuliko wenzao wa upande wa pili ambao wao elimu ya dini ndio wameiweka mbele na kuwa nyuma kwenye ya dunia..

Unakuta mtu anafikiri elimu yake ndio inayomfanya aone hakuna Mungu hivyo wenye kuamini Mungu wamekosa elimu,hii ni dhana ya kijinga kabisa.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujathibutisha uchawi upo.

Thibitisha.
 
Huwa unakera na misimamo uchwara sijawahi kusoma hoja zako zilizo base kwenye reasoning na logic kuhusu uwepo/kutokuwepo Mungu.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujathibutisha uchawi upo.

Thibitisha.
 
Huwa unakera na misimamo uchwara sijawahi kusoma hoja zako zilizo base kwenye reasoning na logic kuhusu uwepo/kutokuwepo Mungu.
Bado hujathibitisha Mungu yupo, unakerwa na swali muhimu tu la kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Kuna muda umeuliza Mungu yupi, nikapatwa na mashaka kuwa wewe unawajua mungu wangapi?

Si swali la kutaka kujua uwepo wa Mungu zaidi ya ligi za kitoto, unataka uthibitishe vipi labda..? Kwa kuona, kusikia, kugusa, kunusa au kuhisi?
Bado hujathibitisha Mungu yupo, unakerwa na swali muhimu tu la kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Kuna muda umeuliza Mungu yupi, nikapatwa na mashaka kuwa wewe unawajua mungu wangapi?

Si swali la kutaka kujua uwepo wa Mungu zaidi ya ligi za kitoto, unataka uthibitishe vipi labda..? Kwa kuona, kusikia, kugusa, kunusa au kuhisi?
Thibitisha Mungu wako yupo kwa njia iliyo logically consistent na isiyoweza kuwa contradicted.
 
Na bahati mbaya kwetu, tuliemkabidhi jukumu la kuangalia usalama wetu, tunamlipa kodi zetu, SERIKALI, anajua yote, anashangilia. Tunatumikishwa na imani, tunaswagwa aheri ya kondoo.
 
Nilipitia huko! Huu utapeli usipostuka utauza mpaka chupi umpelekee hela Mchungaji.

Upuuzi!
 
Hujathibitisha Mungu yupo.
Hujathibutisha uchawi upo.
Thibitisha.
Uthibitisho haufanyi kiwepo ambacho kiuhalisia hakipo wala kukosakana uthibitisho haifanyi ukweli kuwa uongo,watu wavivu wa kufikiri lazima mkimbilie kwenye uthibitisho maana ndiyo kichaka chenu cha kujificha,nikikuuliza hapo kama ulishawahi kukutana na tukio katika maisha yako lenye kuhusishwa na uchawi nahakika hujawahi kukutakana na hicho kitu kifupi huna hata.uelewa na hicho unachopinga ila cha kushangaza mnadai uthibitisho.
Kama kweli mnajiamini na mna mawazo huru tuchambue haya matukio yenye kuhusishwa na uchawi na nyie mtoe hoja za misimamo yenu kuhusu kutokuwa na uchawi sio mnaishia kusoma mawazo ya huko wenye kuwaambia hakuna uchawi bila wenye kuchunguza mnakuja kupinga tu humu.
 
Silaha ya wajinga wengi wanaoogopa kuitwa wajinga hukimbilia hiyo nukuu hudhani kufanya hivyo kutawafanya wasiwe wajinga
Kama ilivyo kwenu ujinga wenu mnauficha kwenye kudai uthibitisho,yani unakuta mtu hata hana uelewa wa kutosha na jambo analopinga ila nae amekariri kudai uthibitisho maana anajua ndio kichaka cha kujifichia.
 
Sasa kama huna uthibitisho kuhusu Mungu wako, una uhakika ganibkwamba yupo na si hadithi tu?
 
Sasa kama huna uthibitisho kuhusu Mungu wako, una uhakika ganibkwamba yupo na si hadithi tu?
Labda nikuulize.

Wewe unasema hakuna Mungu ni kwa sababu tu hakuna uthibitisho?
Je,wewe una uhakika kuwa ni kweli hakuna Mungu na si vinginevyo?
 
Labda nikuulize.

Wewe unasema hakuna Mungu ni kwa sababu tu hakuna uthibitisho?
Je,wewe una uhakika kuwa ni kweli hakuna Mungu na si vinginevyo?
Licha ya kutokuwa na uthibitisho Mungu yupo.

Habari za kuwapo kwake zina contradiction.

Hapa unaambiwa Mungu anajua yote, mpaka yajayo.

Pale unaambiwa Mungu alivyoumba watu, akaona hajapendezewa na tabia zao, akakasirika na kutaka kughairi , akawapiga gharika.

Sasa huyo Mungu mjuzi wa yote mpaka anataka kughairi kwani hakujua hayo ambayo hakuyaoenda yatatokea?

Kila habari ya kuwepo na Mungu inapoletwa ukiichunguza unaikuta ina contradictions.

Kwa sababu Mungu hayupo.
 
Kama ilivyo kwenu ujinga wenu mnauficha kwenye kudai uthibitisho,yani unakuta mtu hata hana uelewa wa kutosha na jambo analopinga ila nae amekariri kudai uthibitisho maana anajua ndio kichaka cha kujifichia.

Kama kudai uthibitisho ni ujinga hivyo utakubali kila kitu unachoambiwa kua ni kweli kwasababu utakua mjinga kudai uthibitisho???

Swala la kudai uthibitisho sio ujinga inategemeana na kwa namna ulivyolitumia ukilitumia vibaya ku force likupe uthibitisho wa visivyopo kua havipo ni lazima ulione lakijinga

Swala la uthibitisho lingekua lakijinga basi hata benk zisingekuwepo, kwasababu watu wangeseza kuchukua mikopo ya mamilion ya pesa bila kuwepo na nyaraka zenye kuthibitisha mali anazomiliki kama dhamana

Ukishajua kuhusu inventions za watu hususani katika finctional characters, utagundua kuamini vitu hivyo kua viko real bila uthibitisho ni ujinga uliopitiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…