raysonkalugendo
Member
- Apr 15, 2013
- 12
- 2
kwa wale wote walioomba kazi katika sekta mbalimbali utumishi wametema.tafuta jina lako mapema anza kureview madesa uliyoyasoma kapige interview nawaombea mema mungu awabariki
hivi wameita tangazo la kiswahili ama kiingereza?
hivi wameita tangazo la kiswahili ama kiingereza?
kiingereza mkuu, vuta subira kama uliomba kwenye lile la kishwahili
kwa wale wote walioomba kazi katika sekta mbalimbali utumishi wametema.tafuta jina lako mapema anza kureview madesa uliyoyasoma kapige interview nawaombea mema mungu awabariki