Naomba kujuzwa jamani.Hivi imetokea vipi watu wamefanya written interview ya Trade officer II na wakati kwenye tangazo lao la kuitwa kwenye usaili walisema hakutakua na usaili wa mchujo bali oral moja kwa moja!!
Naomba kujuzwa jamani.Hivi imetokea vipi watu wamefanya written interview ya Trade officer II na wakati kwenye tangazo lao la kuitwa kwenye usaili walisema hakutakua na usaili wa mchujo bali oral moja kwa moja!!
Hata ungekuwa unasoma matangazo usingeona. Waulize waliofanya wameona tangazo?
Jibu lao hawakuona ila walienda kufanya written interview ya promotion ndio wakakutana na trade officer. Kwa mantiki hii utumishi wamekosea.
Ni mara ngapi matangazo yanabadilishwa na watu wanajua.
Kwa akili ndogo tu ya kufikili watu 200 wafanye written watu 20
Hivi wewe ni mmojawapo nini kwani cha kujiuliza watu kama wamekwenda kufanya written interview hata kama wangekua watano inawakilisha kwamba taarifa zilifika kwa wakati husika labda wewe ndo hukupata na hao wengine siwezi semea labda wana sababu zao
ila haukua utaratibu mzuri zile documents mtu ana-download anakaa nazo kwenye simu au PC. Kama wanabadilisha tangazo wangeweka statement kwamba wamebadili ili kila mtu apate kujua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.