mtumishihuru
Member
- Jan 8, 2020
- 8
- 11
Baada ya kuweka habari hii (Rushwa yatumika kupandisha watumishi madaraja Manispaa ya Moshi) sasa ofisi ya utumishi Manispaa ya Moshi kunafukuta. Tangu habari hii isomwe na maafisa wa ofisi ya utumishi Grace na Mary sasa wanahaha. Ili kujiokoa:
1) Ndani ya wiki moja wamewashusha madaraja watumishi wote waliopandishwa daraja hivi karibuni (evidence ya nakala za barua za kushushwa madaraja zipo ila naomba leo nisiziweke kuwahifadhi). Maswali yanayozuka ni kwamba kama kweli hawakuwapandisha kwa Rushwa kwa nini wawashushe baada ya makala hii?
2) Sasa Grace na Mary wamekuwa wakiwatishia walimu wanaohisi kuwa ndio wameandika habari hizi. Tayari wamewatishia waalimu kadhaa. Wamesahau kuwa habari za madudu ya Mary kwa mfano tumeanza kuyaandika toka zamani. Mfano harakati za Mary tuliziandika miaka mingi nyuma sana. Mfano Marrystela afisa utumishi moshi(manispaa) na ombwe la uongozi.
3) Siku mojawapo ndani ya wiki moja iliyopita nimefika ofisi ya utumishi na Grace akawa anawatuhumu walimu kadhaa huku akijiapiza kuwakomoa. Audio ya maneno yake ipo na kwa sasa namstahi ila akiendelea nitaiweka.
Ushauri wangu kwa Grace na Marry ni kwamba tulieni dozi iwaingie. Tupo hapa kumuunga mkono mheshimiwa Rais wetu John Pombe Magufuli anayehimiza uchapa kazi bila kuonea wananchi ama watumishi. Ni vema wajirekebishe na watende haki. Vinginevyo tutaendelea kuanika vitendo vyao vya rushwa na upendeleo.
Ndimi mtumishi wenu huru.
1) Ndani ya wiki moja wamewashusha madaraja watumishi wote waliopandishwa daraja hivi karibuni (evidence ya nakala za barua za kushushwa madaraja zipo ila naomba leo nisiziweke kuwahifadhi). Maswali yanayozuka ni kwamba kama kweli hawakuwapandisha kwa Rushwa kwa nini wawashushe baada ya makala hii?
2) Sasa Grace na Mary wamekuwa wakiwatishia walimu wanaohisi kuwa ndio wameandika habari hizi. Tayari wamewatishia waalimu kadhaa. Wamesahau kuwa habari za madudu ya Mary kwa mfano tumeanza kuyaandika toka zamani. Mfano harakati za Mary tuliziandika miaka mingi nyuma sana. Mfano Marrystela afisa utumishi moshi(manispaa) na ombwe la uongozi.
3) Siku mojawapo ndani ya wiki moja iliyopita nimefika ofisi ya utumishi na Grace akawa anawatuhumu walimu kadhaa huku akijiapiza kuwakomoa. Audio ya maneno yake ipo na kwa sasa namstahi ila akiendelea nitaiweka.
Ushauri wangu kwa Grace na Marry ni kwamba tulieni dozi iwaingie. Tupo hapa kumuunga mkono mheshimiwa Rais wetu John Pombe Magufuli anayehimiza uchapa kazi bila kuonea wananchi ama watumishi. Ni vema wajirekebishe na watende haki. Vinginevyo tutaendelea kuanika vitendo vyao vya rushwa na upendeleo.
Ndimi mtumishi wenu huru.
