Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,629
- 2,288
- Thread starter
- #41
Unamaanisha nini?Wapo watumishi wenye DIGRII walizozipata Kwa elimu ya kidato cha 4 wana elimu ya cheti(Certificate)
Unamaanisha nini?Wapo watumishi wenye DIGRII walizozipata Kwa elimu ya kidato cha 4 wana elimu ya cheti(Certificate)
Ni kweli mkuu!!!...Hii ni comment ya ajabu sana, hivi unalinganisha secondary education na professional training ya university? Nitashangaa sana kama huu uhakiki hautagusa Diploma na degree
Huna digrii wewe! Au una cheti feki cha digriiVyeti vya digrii vinapatikana kirahisi kadiri mtu anavyopanda ngazi za kielimu.Kule unapata digrii unaiona hivihivi.Vyeti vya sekondari ni shughuli pevu kuvipata.mitihani yake yataka usome kwa bidii na kutunza kumbukumbu vizuri kwa mambo uliyofundishwa.Ukifeli hupati cheti na elimu uliyoipata haitambuliwi na waajiri utajitambua mwenyewe na kujiajiri mwenyewe.Digrii unafanya kazi nyepesi kuipata
. UDSM na SUA wako makini sana na wameshawambua wengi waliotaka kuleta ujanja wengine walilazimika kukimbia vituo vyao vya kazi baada ya kubainika wamefoji vyeti vya taaluma.ndio unapata! ila utapata cheti feki kama yule ambaye hakusoma sekondari lakini ana cheti cha sekondari. uliza swali lingine
Na hawa hawa wengi wao ndo mabosi wa huko wizarani na tasisi mbalimbalivyeti feki vya degree ni vingi sana mtaani.sijui watawezaje kuvibaini,maana Tcu wamelala usingizi wa pono
Sasa si bora hata huyo mwenye setifiketi ua uchoraji akapata digrii ya mipango miji ataweza kuutumia ujuzi wake wa kuchora kutuchorea namna ya kupangika kwa mjiHakika inatisha sana.Tunaiomba Wizara ya Utumishi ianze Uhakiki Wa Digrii Kwa Watumishi Wa Umma kwani nako kuna MADUDU ya kutisha.kuna mtumishi Ana kamaliza kidato cha 4 Ana Certificate ya Uchoraji lakini anaruhusiwa kuchukua DIGRII ya Mipango Miji.Hao ni wengi sana.Tunamwomba Waziri husika afanye Uhakiki Kwa wote wenye DIGRII.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hivi aliyewaambia degree ni rahisi ni nani.Kama ni rahisi si kila mtu angepata.Mnajifariji.Upate cheti cha secondary then ushindwe degree?
Kwa sasa serikali imehakiki vyeti vya sekondari kwa watumishi wa umma! Vyeti vyenyewe ni vya sekondari yaani form four na form six! Hapo hapo, wanatueleza eti ajira mpya zinaziba pengo la watumishi wenye vyeti feki! Hivi, tofauti na kazi za udereva na walinzi ni kazi gani nyingine inayotangazwa na serikali inayomhitaji MTU awe na cheti cha form four au form six? Kama utumishi mnataka kutoa ajira kwa watanzania, mjitahidi mhakiki watumishi wenye digrii feki! Naamini hawa wapo wa kutosha!
Mkuu Degree first year mnaanza 80 mnagraduate 70 O level form one wanaanza 80 wanaopata cheti 40 huoni hapo secondary wengi wanapotea.Secondary mazingira pia magumu Chuo ni kugumu lakini at least mazingira yanaruhusu.Hivi aliyewaambia degree ni rahisi ni nani.Kama ni rahisi si kila mtu angepata.Mnajifariji.
Kama sio Kampala international university basi atukua ametoka chuo cha mafisadi UDSMDigrii IPI rahisi kupata? Labda kama umesoma Kampala university
Mkuu unapokuwa enrolled kwa degree ni lazima uwakilishe vyeti vya Form IV na VI.Halafu hata kama ni mature entrant system yake ya scrutiny vKwa sasa serikali imehakiki vyeti vya sekondari kwa watumishi wa umma! Vyeti vyenyewe ni vya sekondari yaani form four na form six! Hapo hapo, wanatueleza eti ajira mpya zinaziba pengo la watumishi wenye vyeti feki! Hivi, tofauti na kazi za udereva na walinzi ni kazi gani nyingine inayotangazwa na serikali inayomhitaji MTU awe na cheti cha form four au form six? Kama utumishi mnataka kutoa ajira kwa watanzania, mjitahidi mhakiki watumishi wenye digrii feki! Naamini hawa wapo wa kutosha!
Kijana unazungumzia mazingira mawili tofauti kabisa ambayo hayako comparable.Kwa sababu ya umri mdogo:-Mkuu Degree first year mnaanza 80 mnagraduate 70 O level form one wanaanza 80 wanaopata cheti 40 huoni hapo secondary wengi wanapotea.Secondary mazingira pia magumu Chuo ni kugumu lakini at least mazingira yanaruhusu.
Ni kweliUhakiki wa vyeti vya Taaluma unapashwa kufanywa na chuo husika tuu, kwakuwa wao ndio waliokitoa cheti hicho.Nitofauti na vyeti vya secondari ambavyo hutolewa na Baraza la mitihani tuu.
Digrii IPI rahisi kupata? Labda kama umesoma Kampala university
Mkuu unacheka kusikia Kampala university?ahahaaaa!!!