Utumishi: Kwanini uhakiki wa vyeti haugusi vyeti vya digrii?

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Mar 11, 2016
2,629
2,288
Kwa sasa serikali imehakiki vyeti vya sekondari kwa watumishi wa umma! Vyeti vyenyewe ni vya sekondari yaani form four na form six! Hapo hapo, wanatueleza eti ajira mpya zinaziba pengo la watumishi wenye vyeti feki! Hivi, tofauti na kazi za udereva na walinzi ni kazi gani nyingine inayotangazwa na serikali inayomhitaji MTU awe na cheti cha form four au form six? Kama utumishi mnataka kutoa ajira kwa watanzania, mjitahidi mhakiki watumishi wenye digrii feki! Naamini hawa wapo wa kutosha!
 
Vyeti vya digrii vinapatikana kirahisi kadiri mtu anavyopanda ngazi za kielimu.Kule unapata digrii unaiona hivihivi.Vyeti vya sekondari ni shughuli pevu kuvipata.mitihani yake yataka usome kwa bidii na kutunza kumbukumbu vizuri kwa mambo uliyofundishwa.Ukifeli hupati cheti na elimu uliyoipata haitambuliwi na waajiri utajitambua mwenyewe na kujiajiri mwenyewe.Digrii unafanya kazi nyepesi kuipata
 
Hakika inatisha sana.Tunaiomba Wizara ya Utumishi ianze Uhakiki Wa Digrii Kwa Watumishi Wa Umma kwani nako kuna MADUDU ya kutisha.kuna mtumishi Ana kamaliza kidato cha 4 Ana Certificate ya Uchoraji lakini anaruhusiwa kuchukua DIGRII ya Mipango Miji.Hao ni wengi sana.Tunamwomba Waziri husika afanye Uhakiki Kwa wote wenye DIGRII.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Vyeti vya digrii vinapatikana kirahisi kadiri mtu anavyopanda ngazi za kielimu.Kule unapata digrii unaiona hivihivi.Vyeti vya sekondari ni shughuli pevu kuvipata.mitihani yake yataka usome kwa bidii na kutunza kumbukumbu vizuri kwa mambo uliyofundishwa.Ukifeli hupati cheti na elimu uliyoipata haitambuliwi na waajiri utajitambua mwenyewe na kujiajiri mwenyewe.Digrii unafanya kazi nyepesi kuipata
Digrii IPI rahisi kupata? Labda kama umesoma Kampala university
 
yap! inawezekana kabisa, kwani wangapi wanadisco vyuoni tunawaona?
Kuna jamaa mmoja, ali disco lakini mpaka Leo ana cheti cha digrii, alifoji...!!! Sasa kwa nini MTU kama huyu apate mshahara wa digrii wakti mi nimefoji cheti cha form four nimeondolewa kazini
 
Vyeti vya digrii vinapatikana kirahisi kadiri mtu anavyopanda ngazi za kielimu.Kule unapata digrii unaiona hivihivi.Vyeti vya sekondari ni shughuli pevu kuvipata.mitihani yake yataka usome kwa bidii na kutunza kumbukumbu vizuri kwa mambo uliyofundishwa.Ukifeli hupati cheti na elimu uliyoipata haitambuliwi na waajiri utajitambua mwenyewe na kujiajiri mwenyewe.Digrii unafanya kazi nyepesi kuipata
Utakuwa una degree ya sociology ya chupi wewe...!
Unaona degree kuipata ni rahisi ee?



Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa serikali imehakiki vyeti vya sekondari kwa watumishi wa umma! Vyeti vyenyewe ni vya sekondari yaani form four na form six! Hapo hapo, wanatueleza eti ajira mpya zinaziba pengo la watumishi wenye vyeti feki! Hivi, tofauti na kazi za udereva na walinzi ni kazi gani nyingine inayotangazwa na serikali inayomhitaji MTU awe na cheti cha form four au form six? Kama utumishi mnataka kutoa ajira kwa watanzania, mjitahidi mhakiki watumishi wenye digrii feki! Naamini hawa wapo wa kutosha!
Kweli mkuu, vyeti feki kuanzia ngazi ya astashahada hadi uzamili ni VINGI nadhani kuliko hata vile vya CSEE. Ugumu wa kuvibaini ni kwamba hizi taasisi zina mamlaka makubwa sana katika kutoa awards hizo na usimamizi wa mamlaka husika (TCU/NACTE) ni kama hautoshi katika kuhakikisha uhalali wa taaluma za wahitimu. Si rahisi sana kulitendea kazi hilo pasipo na nia.
 
Back
Top Bottom