Utumishi kunani

Utumishi kunani

Wasiliana nao kwanza, ukiona hawaeleweki we j2 chukua ndinga jumatatu uwafuate kabla mambo hayajaaribika.
 
Hata mimi iliwahi kuniktokea. Niliombaga post mbili tu,computer network admin na computer system admin. Zile post za eGA. Siku ya interview nikaitwa hiyo ya networking na ya database admin. Nashukuru nilipiga zote mbili na nikafaulu kuingila 2nd interview "practical".
Ila ktk 2nd interview sikufanya database,mana sipo vzr ktk practical,nikafanya ya networking. Nachotaka kukuambia ni kuwa,km hiyo post uliyochagiliwa ipo ndani ya profession yako,we ibuka kapige hiyo interview. Kama sio basi fanya nao mawasiliano,wakikataa kukubadilisha achana nao. Mana jamaa interview zao zipo ki-profession zaidi..
 
Msaadaa ndugu
Vip tuelekezane kuhusu huko Utumishi
1.Ni wap kwanza?
2.Ajira zao zinatangazwa wap/tovuti gana hasa

Maana mwenzenu ndo nimemaliza ivi karibuni na hata wa kuonyesha njia hakuna
 
Ukienda siku ya interview naona kama hautafanya mtihani mara nyingi mkienda kule wanabandika majina upya yenye namba ukiingia kwenye chumba cha mtihani utataja hio namba alaf ndio utapewa namba yako ya mtihani kwaio zinakuepo sasa kama ulikuepo haujawekwa kwenye orodha sizani kama utaweza kupata namba .ni mawazo yangu tu.
 
Angalia kwenye inbox nimeku-PM nimekutumia namba ya simu ya mtu anayeweza kukusaidia ambaye anahusika na masuala hayo pale Sekretarieti.
 
Angalia kwenye inbox nimeku-PM nimekutumia namba ya simu ya mtu anayeweza kukusaidia ambaye anahusika na masuala hayo pale Sekretarieti.
Asante sana mkuu kwa msaada wako.Ila naona muda umeenda sana, ngoja nivumilie labda bahati yangu kuingia serikalini bado.Ngoja niendelee kukomaa huku private.Mkuu nakushukuru tena sana.Ntakutafuta mkuu hata tuchonge mawili matatu.
 
Back
Top Bottom