Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Napenda kufahamu kama wanandoa hutumia mipira ya kike/ kiume (kama lile tangazo la familia con*om) linavyosisitiza juu ya upangaji wa uzazi. Je wanandoa hufaidi na kufurahia (enjoy) tendo lao? na je huwa na hisia sawa na kama hawakutumia mpira?
Tafadhali wanandoa nihabarisheni!
Kwa asilimia ngapi wanandoa hutumia mpira?
Je hufurahia tendo?
.......................................................
Tafadhali wanandoa nihabarisheni!
Kwa asilimia ngapi wanandoa hutumia mpira?
Je hufurahia tendo?
.......................................................