Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Kwa takribani kila siku nimekuwa nikisikiliza vipindi vya redio na TV kumekuwa na matangazo amabay yanamhitaji msikilizaji kutuma ujumbe kwa kutumia simu yake kupiga aidha kura au kumpongeza mtu fulani. Reference Cloud Fm na kipindi cha Ala za Roho,Leo tena, na vingine vingi.
Hivi waku nani anayefaidika ni mtangazaji aliye buni hicho kipindi au kuna makataba maalumu ambao kituo hicho cha Redio au TV kinaingia na makampuni ya simu kwa ajili malipo.
And worse enough, katika michezo hiyo sms moja hugharimu hadi tshs 1000/=! (refer kitu inaitwa VUNAVUNA TBC1)
Naungana na Chaku, ni nani anayetajirishwa? ili tujue kama hela zile anapewa mtu mmoja au la ni ufisadi gani unaendeshwa hUko!!
Mmelazimishwa KUPIGA???????
Vunavuna unategemea utavuna nini kama sio kuchangiana hizo buku buku?????
Vipindi vya kupiga simu havijaanza leo bibi/bwa chaku tangu zile enzi za radio one, na pia sidhani kama ni hapa TZ tu, kupiga simu ni njia moja wapo ya kundesha kipindi ili upate maoni tofauti tofauti, na pia kukifanya kipindi kuwa live, kuchangamsha, kupata wasikilizaji wengi, wadhamini kibao na HATIAMAYE mshiko wa nguvu kwa media husika.
Uzuri hulazimishwi na garama za kutuma sms au kupiga ziko wazi so CHAGUA BEGA.......
Mkuu ni wizi mtupu,sasa hivi jamaa wa clouds FM wamekuja na wizi mwingine kuwa wanatafuta vipaji vya uimbaji,unachotakiwa ni kupiga namba flani hivi halafu ukisikia mlio (peep) unatakiwa uanze kuchana mistari yako.gharama yake ni tsh 1000/= kwa dakika.sio wizi kweli huu jamani?
Kwa takribani kila siku nimekuwa nikisikiliza vipindi vya redio na TV kumekuwa na matangazo amabay yanamhitaji msikilizaji kutuma ujumbe kwa kutumia simu yake kupiga aidha kura au kumpongeza mtu fulani. Reference Cloud Fm na kipindi cha Ala za Roho,Leo tena, na vingine vingi.
Hivi waku nani anayefaidika ni mtangazaji aliye buni hicho kipindi au kuna makataba maalumu ambao kituo hicho cha Redio au TV kinaingia na makampuni ya simu kwa ajili malipo.
Mmelazimishwa KUPIGA???????
Vunavuna unategemea utavuna nini kama sio kuchangiana hizo buku buku?????
Vipindi vya kupiga simu havijaanza leo bibi/bwa chaku tangu zile enzi za radio one, na pia sidhani kama ni hapa TZ tu, kupiga simu ni njia moja wapo ya kundesha kipindi ili upate maoni tofauti tofauti, na pia kukifanya kipindi kuwa live, kuchangamsha, kupata wasikilizaji wengi, wadhamini kibao na HATIAMAYE mshiko wa nguvu kwa media husika.
Uzuri hulazimishwi na garama za kutuma sms au kupiga ziko wazi so CHAGUA BEGA.......
Mmelazimishwa KUPIGA???????
Vunavuna unategemea utavuna nini kama sio kuchangiana hizo buku buku?????
Vipindi vya kupiga simu havijaanza leo bibi/bwa chaku tangu zile enzi za radio one, na pia sidhani kama ni hapa TZ tu, kupiga simu ni njia moja wapo ya kundesha kipindi ili upate maoni tofauti tofauti, na pia kukifanya kipindi kuwa live, kuchangamsha, kupata wasikilizaji wengi, wadhamini kibao na HATIAMAYE mshiko wa nguvu kwa media husika.
Uzuri hulazimishwi na garama za kutuma sms au kupiga ziko wazi so CHAGUA BEGA.......
Sawa Kanda2, lakini swali la msingi bado hujalijibu kwa umakini.
Umesema kwamba Media husika ndiyo inayofaidi, inakuwaje, wakati ile pesa inaingia kwenye kampuni husika la simu mteja aliko?
Je hizo media wana utaratibu wa kwenda jioni kwenye makampuni ya simu kuchukua mahesabu ya kilichopatikana, au inakuwaje hii kamari?
Weka sawa swali la msingi!