Noe_wenc87
Member
- Oct 25, 2018
- 8
- 5
Habari zenu wakuu, kuna kitu kinanitatiza na nahisi kwangu kina umuhimu. Suala la utulivu wa akili yaani Meditation.
Nimesoma kwenye post tofauti zilizopita humu na katika blogs kadhaa lakini bado sijajua naweza vipi kufanya meditation.
Tafadhari mwenye uelewa juu ya hili msaada naomba kwa lugha nyepesi ambayo naweza kuelewa.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma kwenye post tofauti zilizopita humu na katika blogs kadhaa lakini bado sijajua naweza vipi kufanya meditation.
Tafadhari mwenye uelewa juu ya hili msaada naomba kwa lugha nyepesi ambayo naweza kuelewa.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app