Utulivu bungeni

Utulivu bungeni

Kuna aya moja katika Bible inasema kuwa mjinga akinyamaza huhesabiwa kuwa ana hekima. Kwa nje wamenyamaza lakini mioyoni wanavurumai kali. Basi tu....!
 
Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.

Wewe ni dugai au umemtumia sms akaisome bungeni, maana kayawakilisha maneno haya kama yalivyo, kweli kazi tunayo!
 
Ntafurahi kama hivyo vinavyoptishwa kwa ulaini na bila kero za 'wahuni' ni mambo yenye maslahi kwa mtz. Lakini kama ni uovu umepata mwanya, maisha yatazidi kua ya maudhi zaidi ya matusi ya 'wahuni'
 
Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.

Nina wasiwasi AKILI yako imehamia MATA CORE NI!
 
Back
Top Bottom