Utoto kwenye ndoa

Utoto kwenye ndoa

Utoto ni kama, kupakatana, kubebana, kuogeshana, kuwekewa chandarua, kupelekewa maji bafuni, kuandaliwa chakula, kufuliwa mpaka nguo za ndani, kujiliza wakati wa.... Ukubwa ni lile tendo la ndoa tu. Eboo kwani wewe huwezi kujifanyia haya yote. Na mtoto afanyiwe na nani.
 
Back
Top Bottom