kirang'enta
Member
- Dec 27, 2013
- 35
- 23
Wana jf kwa uzoefu wa Bunge la JMT wabunge pamoja na mawaziri wamekuwa hawajudhurii vikao bus Bunge kama insvyotarajiwa. Tukiwa tumebakiza siku chache kabla ya kuanza kikao cha Bunge maalum la Katiba - udhibiti wa mahudhurio utafanywa na nani au chombo gani? Mwenye kufahamu anijuze