Ukiwa na master's degree, alaf ukawa ni mtu Kwa kupublish papers katika journals tofauti tofauti za vyuo mbalimbali, Kuna points utapata ambazo zitaweza kuku-upgrade kuwa lecturer bila kusoma PhD.
Ukiwa na master's degree, alaf ukawa ni mtu Kwa kupublish papers katika journals tofauti tofauti za vyuo mbalimbali, Kuna points utapata ambazo zitaweza kuku-upgrade kuwa lecturer bila kusoma PhD.
Kuna tofauti ya mtu kuwa na PhD na kuwa lecturer. Si lazma mtu akiwa lecturer basi awe ni PhD holder. Huyu mtu ambae ana master na amepublish several papers na kupata point kadha atabaki kuwa masters holder lakini ni lecturers.
Kuna tofauti ya mtu kuwa na PhD na kuwa lecturer. Si lazma mtu akiwa lecturer basi awe ni PhD holder. Huyu mtu ambae ana master na amepublish several papers na kupata point kadha atabaki kuwa masters holder lakini ni lecturers.
Lecture= Lecturer, Assistant Lecture= Assistant Lecturer.
Wewe ndiye unatafuta ajira hujui hata kuandika titles za watu kweli? Na hapo pengine unajiita msomi nwenye degree. Kweli elimu yako ni uchafu mtupu. Hii inatisha sana!
Lecture= Lecturer, Assistant Lecture= Assistant Lecturer.
Wewe ndiye unatafuta ajira hujui hata kuandika titles za watu kweli? Na hapo pengine unajiita msomi nwenye degree. Kweli elimu yako ni uchafu mtupu. Hii inatisha sana!
Hapana sio uchafu mtupu. Kakosea labda hajui... muelekeze vizuri tu mbona wote tuki safari ya kujifunza? Ukiona unajua kila kitu na huna cha kujifunza ujue siku zako duniani zimeisbia. Ukiona mtu ana mengi ya kujifunza ujue bado ana musa sana hapa