Utofauti wa kashfa ya LOWASSA na PINDA watanzania tusidanganywe na Propaganda

Jicho la Tai

JF-Expert Member
Oct 10, 2012
1,449
574
Nimekuwa nikifuatilia sana mijadala mbalimbali na ni wazi kuwa kuna mvutano mkubwa sana kati ya Habari za Kashfa ya Lowasa na ya Pinda katika kitu kinachoitwa Ufisadi. Nahisi kama Watanzania wengi tunadanganywa sana kwenye mitandao ya Kijamii.

Najua kuna watu wanakaa kazi yao ni kupiga propaganda ili kujenga imani kwa watu kumuamini mtu wao na kumchafua mtu ambaye wanadhani ni mpinzani wa mtu wao. Hili jambo lazima tuliseme ili kila mtu ajue. Tusitumiwe kudanganya watu kwa manufaa ya mtu mmoja, acheni uma wa watanzania uamue, msiwalazimishe wamuamini mtu ambaye anawalazimisha mumsafishe

Kwa akili yangu ya kawaida nadhani Lowasa ana timu kubwa sana kwenye mitandao ambayo inaeneza Propaganda na kuudanganya uma kuhusu kukubalika kwake na mpaka imefikia hatua watu wengi wanamuamini na kujua ana influence kubwa. Upande wa Pinda kimya chake kinamponza nadhani pia kutokuwa na mtandao wa propaganda pia kunasababisha hayo yote.

Lowasa
Kashfa kubwa ya Lowasa ni Kuhusu Richmond ambapo alijiuzuru kwa kuonekana HAPA NDIYE MUHUSIKA MKUU

Mizengo Pinda
Kashfa kubwa ya pinda ni kufahamu suala la Escrow na kutowawajibisha mawaziri wake HAPA SIO MUHUSIKA MKUU

Kinachokuja kuelezwa kwenye mitandao ni kuonekana kama Escrow ni ya Pinda ilihali hata kwenye Mgao jina lake halipo. ila tu mawaziri wake ndio walihusika. Anaeunda Baraza la Mawaziri ni Rais na sio Waziri mkuu. Anaetakiwa kumuwajibisha Waziri mkuu ni Rais ila tu, waziri mkuu anaweza akapeleka maoni yake kwa rais kuwa waziri fulani kafanya Uzembe. Nini kosa la Pinda katika suala la ESCROW?

Suala la Richmond halikuwa na mjadala wa kuwajibishwa kwa waziri bali Waziri alihusika moja kwa moja na ndiye alikuwa Staring wa Movie ile. Na ukiangalia sana, kwa sasa Pinda ndiye anaechokonolewa sana na kuchafuliwa sana ili tu aonekane hafai, lakini haya yote yamekuja baada ya Kutangaza nia BBC kuwa anaweza kuwania uwaziri mkuu.

Watanzania, ifike mahali tufanye vitu kwa kufikiri. Hawa CCM wakituwekea mtu ambae ana mtandao mkubwa na tukamchagua basi tujue tumekwisha. Kuna watu wanasubiri fulani aingie madarakani ili wao wanufaike kwa dili zao haramu, ndio maana wanamwaga pesa kwa sasa ili waonekane wasafi na wakichaguliwa tu, watarudisha pesa zao na watasababisha wawekezaji feki waingie kwani ndio wanaotoa sapoti kwao.

Sisemi nani anafaa na nani hafai, ila kiongozi anaetumia pesa nyingi na nguvu nyingi kutafuta madaraka ni wazi atatuumiza. kuna watu wana stress zao, tusiwaruhusu kumaliza stress zao kwenye Urais.
Sio kila habari ya kumsifu mtu au kumchafua mtu tunayoiona kwenye mtandao basi tuiamini, tunapaswa kuamini kitu kilichothibitishwa. Mfano ESCROW na RICHMOND hata ripoti zake humu JF zipo, lakini suala la SUKARI sijaona Mwenye taarifa kamili zaidi ya kuhusisha watu wawili ambao ni wapinzani wa wapiga propaganda wa Lowasa.
Vijana wa Lowasa mnatuharibia Watanzania wetu kwa kuwaaminisha vitu vya Uongo huku mkimkweza mtu ambae baadhi ya watanzania walishamuona ni Fisadi, Tusijisafishe kwa kuwachafua wengine.
Hata leo HUNIJUI akisema anagombea urais najua Timu Lowasa watamtengenezea habari tu

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Usimbariki Fisadi yeyote achukue nchi.
 
Last edited by a moderator:
Pinda huyu huyu wa Escrow, Pinda huyu huyu wa Sukari, Pinda huyu huyu wa akaunti ya nyau au Pinda yupi
 
Hayo yoooote uliyoyaandika hayatuhusu kwa kuwa hao wote uliowazungumzia hawana sifa za kuweza kuchukua nafasi ya kuliongoza taifa hili kama Rais.
 
Hawa wote wanajifurahisha tu , rais anayekuja atatoka UKAWA , tunamshukuru Mungu kwa kutunusuru na minyororo ya utumwa .
 
Nimekuwa nikifuatilia sana mijadala mbalimbali na ni wazi kuwa kuna mvutano mkubwa sana kati ya Habari za Kashfa ya Lowasa na ya Pinda katika kitu kinachoitwa Ufisadi. Nahisi kama Watanzania wengi tunadanganywa sana kwenye mitandao ya Kijamii.

Najua kuna watu wanakaa kazi yao ni kupiga propaganda ili kujenga imani kwa watu kumuamini mtu wao na kumchafua mtu ambaye wanadhani ni mpinzani wa mtu wao. Hili jambo lazima tuliseme ili kila mtu ajue. Tusitumiwe kudanganya watu kwa manufaa ya mtu mmoja, acheni uma wa watanzania uamue, msiwalazimishe wamuamini mtu ambaye anawalazimisha mumsafishe

Kwa akili yangu ya kawaida nadhani Lowasa ana timu kubwa sana kwenye mitandao ambayo inaeneza Propaganda na kuudanganya uma kuhusu kukubalika kwake na mpaka imefikia hatua watu wengi wanamuamini na kujua ana influence kubwa. Upande wa Pinda kimya chake kinamponza nadhani pia kutokuwa na mtandao wa propaganda pia kunasababisha hayo yote.

Lowasa
Kashfa kubwa ya Lowasa ni Kuhusu Richmond ambapo alijiuzuru kwa kuonekana HAPA NDIYE MUHUSIKA MKUU

Mizengo Pinda
Kashfa kubwa ya pinda ni kufahamu suala la Escrow na kutowawajibisha mawaziri wake HAPA SIO MUHUSIKA MKUU

Kinachokuja kuelezwa kwenye mitandao ni kuonekana kama Escrow ni ya Pinda ilihali hata kwenye Mgao jina lake halipo. ila tu mawaziri wake ndio walihusika. Anaeunda Baraza la Mawaziri ni Rais na sio Waziri mkuu. Anaetakiwa kumuwajibisha Waziri mkuu ni Rais ila tu, waziri mkuu anaweza akapeleka maoni yake kwa rais kuwa waziri fulani kafanya Uzembe. Nini kosa la Pinda katika suala la ESCROW?

Suala la Richmond halikuwa na mjadala wa kuwajibishwa kwa waziri bali Waziri alihusika moja kwa moja na ndiye alikuwa Staring wa Movie ile. Na ukiangalia sana, kwa sasa Pinda ndiye anaechokonolewa sana na kuchafuliwa sana ili tu aonekane hafai, lakini haya yote yamekuja baada ya Kutangaza nia BBC kuwa anaweza kuwania uwaziri mkuu.

Watanzania, ifike mahali tufanye vitu kwa kufikiri. Hawa CCM wakituwekea mtu ambae ana mtandao mkubwa na tukamchagua basi tujue tumekwisha. Kuna watu wanasubiri fulani aingie madarakani ili wao wanufaike kwa dili zao haramu, ndio maana wanamwaga pesa kwa sasa ili waonekane wasafi na wakichaguliwa tu, watarudisha pesa zao na watasababisha wawekezaji feki waingie kwani ndio wanaotoa sapoti kwao.

Sisemi nani anafaa na nani hafai, ila kiongozi anaetumia pesa nyingi na nguvu nyingi kutafuta madaraka ni wazi atatuumiza. kuna watu wana stress zao, tusiwaruhusu kumaliza stress zao kwenye Urais.
Sio kila habari ya kumsifu mtu au kumchafua mtu tunayoiona kwenye mtandao basi tuiamini, tunapaswa kuamini kitu kilichothibitishwa. Mfano ESCROW na RICHMOND hata ripoti zake humu JF zipo, lakini suala la SUKARI sijaona Mwenye taarifa kamili zaidi ya kuhusisha watu wawili ambao ni wapinzani wa wapiga propaganda wa Lowasa.
Vijana wa Lowasa mnatuharibia Watanzania wetu kwa kuwaaminisha vitu vya Uongo huku mkimkweza mtu ambae baadhi ya watanzania walishamuona ni Fisadi, Tusijisafishe kwa kuwachafua wengine.
Hata leo HUNIJUI akisema anagombea urais najua Timu Lowasa watamtengenezea habari tu

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Usimbariki Fisadi yeyote achukue nchi.

Wewe unasema Pinda hana watu humu mtandaoni huyu je?

user-online.png
2015tz

Today 16:27
#2
MemberArray


Join Date : 10th December 2014
Posts : 11
Rep Power : 307
Likes Received0
Likes Given0


[h=2]
icon1.png
Re: Utofauti wa kashfa ya LOWASA na PINDA watanzania tusidanganywe na Propaganda[/h]
Mtoto wa mkulima tumpe fursal ataweza​


 
Mwizi ni mwizi whether kaiba kuku au kaiba pesa za Escrow. Tabia huwa haibadiliki, rais anayecheza na kufikiri mdundiko all the time hawezi kuliondoa hili taifa katika umasikini.
 
Kama pinda kashindwa kusimamia na kuliongoza vyema baraza la mawaziri katika kuhakikisha kuwa anakemea maovu na kuwachukulia hatua kali wale mawaziri wote waendao kinyume na maagizo na utaratibu wautawala bora.

Naomba utuhakikishie ataweza vipi kutuongoza mamilioni ya watanzania wenye tabia na mienendo tofauti ilihali familia ndogo ya watu wasiozidi 40 kashindwa kuimudu?
 
Lowasa akaongoze taifa la wanaopooza ila si wenye afya njema kama watanzania,naamini akiongoza huko kutamfaa sana
 
Chama cha Mapinduzi Mwaka huu kitamteua
Kada mmoja Mwenye sifa zinazojitosheleza
kuwakilisha Chama hicho kwenye Uchaguzi
Mkuu mwaka huu October, Ili kupambana na
Vyama vingine vya Siasa.
Katika hali ya vuguvugu la kujitangaza Lowassa
na Pinda wameonyesha nia, mmoja katangaza
hadharani kimya kimya na mwingine anafanya
maandalizi ya hali mali kwa kazi hiyo tu.
Chama cha Mapinduzi hakiwezi kuwapa ridhaa
watu hawa wawili kwasababu nyingi zifuatazo:
1. Historia ya Uteuzi ndani ya CCM
inawahukumu. Hakuna Waziri Mkuu au
aliyepata kuwa na cheo hicho amepata kuwa
Rais, isipokuwa Mwl. Nyerere enzi za Uhuru
miaka ya 1960. Waliojaribu siku zote
wameshindwa, Rejea Chaguzi za Mwaka
1985,1995,2005, Malicela,Warioba,Salim,Msuya
na Sumaye. Hawa wote historia za utendaji wao
ziliwatupa nje, haya ni sawa kwa Lowassa na
Pinda.
2. Wote wameingia kwenye Kashfa za Utendaji,
Lowassa alijiuzuru kwa aibu juu ya Sakata la
Richmond Mwaka 2008 ambalo anahusishwa
moja kwa moja na sakata hilo.
Pinda kahusishwa na sakata la Escrow na
Sukari fake na kufoji vibali vya uingizaji wa
sukari kuua Viwanda vya Ndani na kukwepa
kodi. Haya ni MADOA sugu yasiyofutika, CCM
itapata wakati mugumu kuwanadi mmoja Kati
yao.
3. Lowassa kahusishwa kwenye skendo za
ufisadi tangu enzi za Mwinyi,Mkapa na Kikwete,
kuhujumu uchumi wa Chama cha Mapinduzi
kupitia hisa za Vodacom, Sukita na Viwanja,
amejilimbikizia Mali zenye utata, na mwaka
2008 na 2009 alitajwa kuwa ni miongoni mwa
Mafisadi 10 wanaolihujumu Taifa, Pia ana
historia mbaya ya kukataliwa na Nyerere na
amenyooshewa kidole mara kadhaa na Baba wa
Taifa na hili halijapata kufutika kwenye
kumbukumbu.
Pinda kaingia kwenye kashfa ya Utendaji
mbovu, Wananchi na Watalaam wa Mambo ya
Utawala wanamuweka Pinda kwenye Orodha ya
Mawaziri Wakuu Wabovu tangu Uhuru wa Nchi
hii akifuatiwa na Sumaye. Hana uwezo wa
kuitumikia nafasi hiyo kwa maarifa na maamuzi,
madudu mengi yamefanyika chini yake hasa
TAMISEMI, Wizara nyeti za Serikali
zinahujumiwa kwa RUSHWA ya wazi yeye
hachukui hatua. Doa kubwa lisilosahaulika ni
Operation TOKOMEZA ambalo alipaswa
kuwajibika na mpaka Sasa Wananchi
waliothirika hawajalipwa fidia yeye yupo tu.
4. Lowassa anatumia Fedha nyingi kuwanunua
wafanya maamuzi ndani ya Chama chake hasa
Wajumbe wa NEC na sasa ameamua kuanza
kuwalipa Mishahara kabisa kila mwezi ili
amalizane nao kabisa kukwepa TAKUKURU
watakapo kutana Dodoma Mei Mwaka huu,
haya ni sawa na Pinda kupitia mpambe wake
Masaburi wanagawa Dola za Kimarekani ili
kupunguza wingi wa Noti kwa nia ya
kujitengenezea Mazingira ya kukubalika.
Matendo haya ya Lowassa na Pinda
yamekidhalilisha Chama cha Mapinduzi hasa
kipindi hiki ambacho chuki ya Wananchi iko juu
dhidi ya Matendo ya Rushwa,Wizi wa Mali za
Umma na Ufisadi.
CCM itakuwa na wakati mugumu kumnadi
yeyote Kati ya wawili hawa kwa Wananchi.
5. Lowassa na Pinda ni mfano wa kuigwa wa
Viongozi wala Rushwa na wanaotokana na
Rushwa na Wananuka Rushwa kwa Matendo na
Maneno yao. Lowassa akiulizwa swali "Katika
Malengo yako una mpango gani wa kupambana
na Rushwa na Ufisadi?" Hawezi kujibu swali hili
kwani nafsi yake na Historia yake ni zao la
Matendo hayo, yeye Mkubwa wa wala Rushwa.
Pinda kajidhalilisha kwenye Sakata la Escrow
kwa kutetea wahujumu waziwazi, amediliki
kukubali kuwa pesa zote ni za IPTL bila kujali
kodi ya Umma, Recalculation na Mapendekezo
ya Bunge. Mgawo ulivyokuwa wa kutupatupa
haiwezekani Pinda asijue wala kupewa kwenye
mfuko.Majina yaliyoko Stanibic na lake limo.
CCM kumteua mmoja kati ya hawa ni
kuutangazia Umma na Dunia kuwa Tanzania ni
wala Rushwa na CCM ni Chama Cha Mafisadi
na Mfano Mzuri ni Mgombea wao 2015.
6. Pinda na Lowassa hawawezi kushindana na
Ukawa, hawajui kujenga hoja wala kujitetea,
hawana historia ya kufanya siasa za Ushindani
hasa na Mtu kama Dr.Slaa,Lipumba na Zitto.
CCM lazima ipate Kada mwenye uwezo wa
Kujenga hoja, mwenye ushawishi na mzoefu
kwenye majukwaa ushindani na siasa.
7. CCM inahitaji Mgombea ambaye ni kiungo
imara ambaye anaweza kuitetea CCM upande
wa Zanzibar (Pinda SIFA hii Hana) na
anayeweza kuunganisha makundi ya kisiasa na
kidini (Lowassa sifa hii hana,rejea Matamko ya
Viongozi wa dini na leo Jumuiya za Kisilaam).
8. Lowassa ni mtu wa Visasi na amekuwa
kwenye mivutano na Kundi kubwa la Wana CCM
hivyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa Chama na
Chama kikasimama ili kuisimamia Serikali,
Pinda kwa udhaifu wake hawezi kuwa
Mwenyekiti wa CCM Chama kitakuwa legelege
na kitakufa, Mifumo ya Chama itasinzia na
kukosa ubunifu.
CCM haiwezi kuwakabidhi Chama watu hawa
wawili
9. Wote wako kundi la Mawaziri Wakuu hivyo
uwepo wa mmoja ni kiama kwa mwingine,
haiwezekani wote wakapendekezwa kwenye
kundi moja, hivyo Pinda na Lowassa ni Fungu la
kukosa.
Maoni ya Wananchi na Wana CCM wanatoa
nafasi kubwa kwa Makada wengine hasa
MWIGULU NCHEMBA
wanajadiliwa kuwa Viongozi wasionuka Ufisadi,
hawana Makundi ndani ya CCM.Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki CCM
 
Chama cha Mapinduzi Mwaka huu kitamteua
Kada mmoja Mwenye sifa zinazojitosheleza
kuwakilisha Chama hicho kwenye Uchaguzi
Mkuu mwaka huu October, Ili kupambana na
Vyama vingine vya Siasa.
Katika hali ya vuguvugu la kujitangaza Lowassa
na Pinda wameonyesha nia, mmoja katangaza
hadharani kimya kimya na mwingine anafanya
maandalizi ya hali mali kwa kazi hiyo tu.
Chama cha Mapinduzi hakiwezi kuwapa ridhaa
watu hawa wawili kwasababu nyingi zifuatazo:
1. Historia ya Uteuzi ndani ya CCM
inawahukumu. Hakuna Waziri Mkuu au
aliyepata kuwa na cheo hicho amepata kuwa
Rais, isipokuwa Mwl. Nyerere enzi za Uhuru
miaka ya 1960. Waliojaribu siku zote
wameshindwa, Rejea Chaguzi za Mwaka
1985,1995,2005, Malicela,Warioba,Salim,Msuya
na Sumaye. Hawa wote historia za utendaji wao
ziliwatupa nje, haya ni sawa kwa Lowassa na
Pinda.
2. Wote wameingia kwenye Kashfa za Utendaji,
Lowassa alijiuzuru kwa aibu juu ya Sakata la
Richmond Mwaka 2008 ambalo anahusishwa
moja kwa moja na sakata hilo.
Pinda kahusishwa na sakata la Escrow na
Sukari fake na kufoji vibali vya uingizaji wa
sukari kuua Viwanda vya Ndani na kukwepa
kodi. Haya ni MADOA sugu yasiyofutika, CCM
itapata wakati mugumu kuwanadi mmoja Kati
yao.
3. Lowassa kahusishwa kwenye skendo za
ufisadi tangu enzi za Mwinyi,Mkapa na Kikwete,
kuhujumu uchumi wa Chama cha Mapinduzi
kupitia hisa za Vodacom, Sukita na Viwanja,
amejilimbikizia Mali zenye utata, na mwaka
2008 na 2009 alitajwa kuwa ni miongoni mwa
Mafisadi 10 wanaolihujumu Taifa, Pia ana
historia mbaya ya kukataliwa na Nyerere na
amenyooshewa kidole mara kadhaa na Baba wa
Taifa na hili halijapata kufutika kwenye
kumbukumbu.
Pinda kaingia kwenye kashfa ya Utendaji
mbovu, Wananchi na Watalaam wa Mambo ya
Utawala wanamuweka Pinda kwenye Orodha ya
Mawaziri Wakuu Wabovu tangu Uhuru wa Nchi
hii akifuatiwa na Sumaye. Hana uwezo wa
kuitumikia nafasi hiyo kwa maarifa na maamuzi,
madudu mengi yamefanyika chini yake hasa
TAMISEMI, Wizara nyeti za Serikali
zinahujumiwa kwa RUSHWA ya wazi yeye
hachukui hatua. Doa kubwa lisilosahaulika ni
Operation TOKOMEZA ambalo alipaswa
kuwajibika na mpaka Sasa Wananchi
waliothirika hawajalipwa fidia yeye yupo tu.
4. Lowassa anatumia Fedha nyingi kuwanunua
wafanya maamuzi ndani ya Chama chake hasa
Wajumbe wa NEC na sasa ameamua kuanza
kuwalipa Mishahara kabisa kila mwezi ili
amalizane nao kabisa kukwepa TAKUKURU
watakapo kutana Dodoma Mei Mwaka huu,
haya ni sawa na Pinda kupitia mpambe wake
Masaburi wanagawa Dola za Kimarekani ili
kupunguza wingi wa Noti kwa nia ya
kujitengenezea Mazingira ya kukubalika.
Matendo haya ya Lowassa na Pinda
yamekidhalilisha Chama cha Mapinduzi hasa
kipindi hiki ambacho chuki ya Wananchi iko juu
dhidi ya Matendo ya Rushwa,Wizi wa Mali za
Umma na Ufisadi.
CCM itakuwa na wakati mugumu kumnadi
yeyote Kati ya wawili hawa kwa Wananchi.
5. Lowassa na Pinda ni mfano wa kuigwa wa
Viongozi wala Rushwa na wanaotokana na
Rushwa na Wananuka Rushwa kwa Matendo na
Maneno yao. Lowassa akiulizwa swali "Katika
Malengo yako una mpango gani wa kupambana
na Rushwa na Ufisadi?" Hawezi kujibu swali hili
kwani nafsi yake na Historia yake ni zao la
Matendo hayo, yeye Mkubwa wa wala Rushwa.
Pinda kajidhalilisha kwenye Sakata la Escrow
kwa kutetea wahujumu waziwazi, amediliki
kukubali kuwa pesa zote ni za IPTL bila kujali
kodi ya Umma, Recalculation na Mapendekezo
ya Bunge. Mgawo ulivyokuwa wa kutupatupa
haiwezekani Pinda asijue wala kupewa kwenye
mfuko.Majina yaliyoko Stanibic na lake limo.
CCM kumteua mmoja kati ya hawa ni
kuutangazia Umma na Dunia kuwa Tanzania ni
wala Rushwa na CCM ni Chama Cha Mafisadi
na Mfano Mzuri ni Mgombea wao 2015.
6. Pinda na Lowassa hawawezi kushindana na
Ukawa, hawajui kujenga hoja wala kujitetea,
hawana historia ya kufanya siasa za Ushindani
hasa na Mtu kama Dr.Slaa,Lipumba na Zitto.
CCM lazima ipate Kada mwenye uwezo wa
Kujenga hoja, mwenye ushawishi na mzoefu
kwenye majukwaa ushindani na siasa.
7. CCM inahitaji Mgombea ambaye ni kiungo
imara ambaye anaweza kuitetea CCM upande
wa Zanzibar (Pinda SIFA hii Hana) na
anayeweza kuunganisha makundi ya kisiasa na
kidini (Lowassa sifa hii hana,rejea Matamko ya
Viongozi wa dini na leo Jumuiya za Kisilaam).
8. Lowassa ni mtu wa Visasi na amekuwa
kwenye mivutano na Kundi kubwa la Wana CCM
hivyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa Chama na
Chama kikasimama ili kuisimamia Serikali,
Pinda kwa udhaifu wake hawezi kuwa
Mwenyekiti wa CCM Chama kitakuwa legelege
na kitakufa, Mifumo ya Chama itasinzia na
kukosa ubunifu.
CCM haiwezi kuwakabidhi Chama watu hawa
wawili
9. Wote wako kundi la Mawaziri Wakuu hivyo
uwepo wa mmoja ni kiama kwa mwingine,
haiwezekani wote wakapendekezwa kwenye
kundi moja, hivyo Pinda na Lowassa ni Fungu la
kukosa.
Maoni ya Wananchi na Wana CCM wanatoa
nafasi kubwa kwa Makada wengine hasa
MWIGULU NCHEMBA
wanajadiliwa kuwa Viongozi wasionuka Ufisadi,
hawana Makundi ndani ya CCM.Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki CCM

Ulipomaliza na Mwigulu ndipo ulipoharibu haswaa... Jiandae kwa mzee wetu Pinda kuchukua nchi
 
Nimekuwa nikifuatilia sana mijadala mbalimbali na ni wazi kuwa kuna mvutano mkubwa sana kati ya Habari za Kashfa ya Lowasa na ya Pinda katika kitu kinachoitwa Ufisadi. Nahisi kama Watanzania wengi tunadanganywa sana kwenye mitandao ya Kijamii.

Najua kuna watu wanakaa kazi yao ni kupiga propaganda ili kujenga imani kwa watu kumuamini mtu wao na kumchafua mtu ambaye wanadhani ni mpinzani wa mtu wao. Hili jambo lazima tuliseme ili kila mtu ajue. Tusitumiwe kudanganya watu kwa manufaa ya mtu mmoja, acheni uma wa watanzania uamue, msiwalazimishe wamuamini mtu ambaye anawalazimisha mumsafishe

Kwa akili yangu ya kawaida nadhani Lowasa ana timu kubwa sana kwenye mitandao ambayo inaeneza Propaganda na kuudanganya uma kuhusu kukubalika kwake na mpaka imefikia hatua watu wengi wanamuamini na kujua ana influence kubwa. Upande wa Pinda kimya chake kinamponza nadhani pia kutokuwa na mtandao wa propaganda pia kunasababisha hayo yote.

Lowasa
Kashfa kubwa ya Lowasa ni Kuhusu Richmond ambapo alijiuzuru kwa kuonekana HAPA NDIYE MUHUSIKA MKUU

Mizengo Pinda
Kashfa kubwa ya pinda ni kufahamu suala la Escrow na kutowawajibisha mawaziri wake HAPA SIO MUHUSIKA MKUU

Kinachokuja kuelezwa kwenye mitandao ni kuonekana kama Escrow ni ya Pinda ilihali hata kwenye Mgao jina lake halipo. ila tu mawaziri wake ndio walihusika. Anaeunda Baraza la Mawaziri ni Rais na sio Waziri mkuu. Anaetakiwa kumuwajibisha Waziri mkuu ni Rais ila tu, waziri mkuu anaweza akapeleka maoni yake kwa rais kuwa waziri fulani kafanya Uzembe. Nini kosa la Pinda katika suala la ESCROW?

Suala la Richmond halikuwa na mjadala wa kuwajibishwa kwa waziri bali Waziri alihusika moja kwa moja na ndiye alikuwa Staring wa Movie ile. Na ukiangalia sana, kwa sasa Pinda ndiye anaechokonolewa sana na kuchafuliwa sana ili tu aonekane hafai, lakini haya yote yamekuja baada ya Kutangaza nia BBC kuwa anaweza kuwania uwaziri mkuu.

Watanzania, ifike mahali tufanye vitu kwa kufikiri. Hawa CCM wakituwekea mtu ambae ana mtandao mkubwa na tukamchagua basi tujue tumekwisha. Kuna watu wanasubiri fulani aingie madarakani ili wao wanufaike kwa dili zao haramu, ndio maana wanamwaga pesa kwa sasa ili waonekane wasafi na wakichaguliwa tu, watarudisha pesa zao na watasababisha wawekezaji feki waingie kwani ndio wanaotoa sapoti kwao.

Sisemi nani anafaa na nani hafai, ila kiongozi anaetumia pesa nyingi na nguvu nyingi kutafuta madaraka ni wazi atatuumiza. kuna watu wana stress zao, tusiwaruhusu kumaliza stress zao kwenye Urais.
Sio kila habari ya kumsifu mtu au kumchafua mtu tunayoiona kwenye mtandao basi tuiamini, tunapaswa kuamini kitu kilichothibitishwa. Mfano ESCROW na RICHMOND hata ripoti zake humu JF zipo, lakini suala la SUKARI sijaona Mwenye taarifa kamili zaidi ya kuhusisha watu wawili ambao ni wapinzani wa wapiga propaganda wa Lowasa.
Vijana wa Lowasa mnatuharibia Watanzania wetu kwa kuwaaminisha vitu vya Uongo huku mkimkweza mtu ambae baadhi ya watanzania walishamuona ni Fisadi, Tusijisafishe kwa kuwachafua wengine.
Hata leo HUNIJUI akisema anagombea urais najua Timu Lowasa watamtengenezea habari tu

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Usimbariki Fisadi yeyote achukue nchi.[/QUOTE

unavyoondika unaonekana ni mwanaccm, kwenye katiba yenu mliondoa vifungu vyote vya kuwabana hao watoa rushwa, mkaishia kucheza mduara kwa kupitisha ule upuuzi leo unakuja kulia hapa kwamba watz tumkatae myia rushwa kwa katiba ipi!? Acheni upuuzi nyie ccm, nyie pambaneni kwa rushwa na ushirikina kama kawaida yenu, lakini hapo october ndio mtaujua umma unataka nini.
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikifuatilia sana mijadala mbalimbali na ni wazi kuwa kuna mvutano mkubwa sana kati ya Habari za Kashfa ya Lowasa na ya Pinda katika kitu kinachoitwa Ufisadi. Nahisi kama Watanzania wengi tunadanganywa sana kwenye mitandao ya Kijamii.

Najua kuna watu wanakaa kazi yao ni kupiga propaganda ili kujenga imani kwa watu kumuamini mtu wao na kumchafua mtu ambaye wanadhani ni mpinzani wa mtu wao. Hili jambo lazima tuliseme ili kila mtu ajue. Tusitumiwe kudanganya watu kwa manufaa ya mtu mmoja, acheni uma wa watanzania uamue, msiwalazimishe wamuamini mtu ambaye anawalazimisha mumsafishe

Kwa akili yangu ya kawaida nadhani Lowasa ana timu kubwa sana kwenye mitandao ambayo inaeneza Propaganda na kuudanganya uma kuhusu kukubalika kwake na mpaka imefikia hatua watu wengi wanamuamini na kujua ana influence kubwa. Upande wa Pinda kimya chake kinamponza nadhani pia kutokuwa na mtandao wa propaganda pia kunasababisha hayo yote.

Lowasa
Kashfa kubwa ya Lowasa ni Kuhusu Richmond ambapo alijiuzuru kwa kuonekana HAPA NDIYE MUHUSIKA MKUU

Mizengo Pinda
Kashfa kubwa ya pinda ni kufahamu suala la Escrow na kutowawajibisha mawaziri wake HAPA SIO MUHUSIKA MKUU

Kinachokuja kuelezwa kwenye mitandao ni kuonekana kama Escrow ni ya Pinda ilihali hata kwenye Mgao jina lake halipo. ila tu mawaziri wake ndio walihusika. Anaeunda Baraza la Mawaziri ni Rais na sio Waziri mkuu. Anaetakiwa kumuwajibisha Waziri mkuu ni Rais ila tu, waziri mkuu anaweza akapeleka maoni yake kwa rais kuwa waziri fulani kafanya Uzembe. Nini kosa la Pinda katika suala la ESCROW?

Suala la Richmond halikuwa na mjadala wa kuwajibishwa kwa waziri bali Waziri alihusika moja kwa moja na ndiye alikuwa Staring wa Movie ile. Na ukiangalia sana, kwa sasa Pinda ndiye anaechokonolewa sana na kuchafuliwa sana ili tu aonekane hafai, lakini haya yote yamekuja baada ya Kutangaza nia BBC kuwa anaweza kuwania uwaziri mkuu.

Watanzania, ifike mahali tufanye vitu kwa kufikiri. Hawa CCM wakituwekea mtu ambae ana mtandao mkubwa na tukamchagua basi tujue tumekwisha. Kuna watu wanasubiri fulani aingie madarakani ili wao wanufaike kwa dili zao haramu, ndio maana wanamwaga pesa kwa sasa ili waonekane wasafi na wakichaguliwa tu, watarudisha pesa zao na watasababisha wawekezaji feki waingie kwani ndio wanaotoa sapoti kwao.

Sisemi nani anafaa na nani hafai, ila kiongozi anaetumia pesa nyingi na nguvu nyingi kutafuta madaraka ni wazi atatuumiza. kuna watu wana stress zao, tusiwaruhusu kumaliza stress zao kwenye Urais.
Sio kila habari ya kumsifu mtu au kumchafua mtu tunayoiona kwenye mtandao basi tuiamini, tunapaswa kuamini kitu kilichothibitishwa. Mfano ESCROW na RICHMOND hata ripoti zake humu JF zipo, lakini suala la SUKARI sijaona Mwenye taarifa kamili zaidi ya kuhusisha watu wawili ambao ni wapinzani wa wapiga propaganda wa Lowasa.
Vijana wa Lowasa mnatuharibia Watanzania wetu kwa kuwaaminisha vitu vya Uongo huku mkimkweza mtu ambae baadhi ya watanzania walishamuona ni Fisadi, Tusijisafishe kwa kuwachafua wengine.
Hata leo HUNIJUI akisema anagombea urais najua Timu Lowasa watamtengenezea habari tu

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Usimbariki Fisadi yeyote achukue nchi.

Na wewe Kijana wa Pinda.Hahahaha haki ya mungu hii nchi kaz ipo..
 
Last edited by a moderator:
Kama umesoma vizuri hapo juu, mamlaka ya uteuzi wa mawaziri ni Rais na sio waziri Mkuu. Ni vipi atawakemea na kuwasimamia na kuwachukuli hatua kali watu wasio wajibika kwake? Akifanya mambo nje ya mipaka yake ya kiutendaji wewe na watu wengine kama wewe sio watapata sababu ya kumhoji kuwa hajui hata mipaka yake ya kiutendaji, atawezaje kuongoza nchi watu kama wewe hamkosi cha kukosoa hata kama hakipo mtatunga tu ilimradi mmchafue mtu kwa nia ya kumsafisha mtu wenu asiyesafishika hata JIK Sodium Chrolide
Kama pinda kashindwa kusimamia na kuliongoza vyema baraza la mawaziri katika kuhakikisha kuwa anakemea maovu na kuwachukulia hatua kali wale mawaziri wote waendao kinyume na maagizo na utaratibu wautawala bora.

Naomba utuhakikishie ataweza vipi kutuongoza mamilioni ya watanzania wenye tabia na mienendo tofauti ilihali familia ndogo ya watu wasiozidi 40 kashindwa kuimudu?
 
Kama umesoma vizuri hapo juu, mamlaka ya uteuzi wa mawaziri ni Rais na sio waziri Mkuu. Ni vipi atawakemea na kuwasimamia na kuwachukuli hatua kali watu wasio wajibika kwake? Akifanya mambo nje ya mipaka yake ya kiutendaji wewe na watu wengine kama wewe sio watapata sababu ya kumhoji kuwa hajui hata mipaka yake ya kiutendaji, atawezaje kuongoza nchi watu kama wewe hamkosi cha kukosoa hata kama hakipo mtatunga tu ilimradi mmchafue mtu kwa nia ya kumsafisha mtu wenu asiyesafishika hata JIK Sodium Chrolide

Kiongozi uteuzi wa mawaziri ni Raisi anasaidiana na Waziri mkuu na ndo maana anaanza kumteua Waziri mkuu kisha anapitishwa na wabunge akishapitishwa wanakaa pamoja na Raisi kuteua wasaidizi wao. Sasa wewe unachokisema anashindwa kuwakemea kisa ajawateuwa yeye nashindwa kukuelewa mkuu.
 
kazi ipo, hivi ndani ya ccm kuna yoyote anayeweza kufanya usaili na hivyo kuthibitishwa kuwa anafaa kugombea na sio kuwa rais. haki ya mama naombeni sana msije kuleta machafuko maana baadhi yenu hamstahili hata kusimama jukwaani na kujinadi ni WACHAFU PINDUKIA.
 
Back
Top Bottom