Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,544
- 1,722
Salaam,kwa sasa uwekaji wa NGUZO hapa Dar umeishakuwa kero yaani zinaharibu show ya jiji,kwanini makampuni yenye hizo nguzo yasishirikiane kushare nguzo moja ibebe waya zao zote? Mnaosimamia hili jiji hebu kaangalieni mandhari ya majiji kama Tokyo au San Fransisco mpate kujifunza.
Hizi picha mbili zimepigwa maeneo ya Mugabe Sinza Dar es salaam.