Taarifa kutoka Ikulu ya ZanzibarView attachment 1661867
Kamuulize Maalim aliyeibiwa anasemaje?
No.9 huyo CDR Mohammed Mussa Seif. Hapo sijaelewa vizuri, mwenye uelewa anieleweshe!!Taarifa kutoka Ikulu ya ZanzibarView attachment 1661867
Hivi Zanzibar hakuna wanawake wasomi? Mbona mfumo dume sana?Taarifa kutoka Ikulu ya ZanzibarView attachment 1661867
Wamo na Watanganyika au ni wazanzibar tu ?Taarifa kutoka Ikulu ya ZanzibarView attachment 1661867
Hawa vilaza wenye PhD za jalalani wa huku Bara kwako ndo wasomi?B
Hivi Zanzibar hakuna wanawake wasomi? Mbona mfumo dume sana?
Na huyu Mgeni inawezekana ni mwanamke. Ingawaje mara nyengine jina hili hutumika kwa wanaume piaHapo fasta fasta tu naona wanawake wawili Hamida na Marina kati ya 9 au ulitaka nusu kwa nusu?
Ni bora wayabebe wezi ili isije ikaonekana walioingia wameharibu,au kuonekana walioibiwa wanalipiza kisasi wanapochukua amri za papo kwa papo.wacha ccm wakabane wenyewe kwa wenyewe kwa taarifa wakurugenzi wote matumbo joto.Kamuulize Maalim aliyeibiwa anasemaje?
Yuko anaponya nchi kwa sasa.Kamuulize Maalim aliyeibiwa anasemaje?
Alikuwa KMKM Cheo chake ni Commander (CDR) ni sawa na Luteni kanali.Ni askari huyo alishakuwa mkuu wa Kamandi ya KMKM. Hicho ni cheo