Uteuzi wangu ni heshima kubwa kwa NCCR - Mbatia

Bila kujali kuteuliwa kwake MHE. Mbatia kuwa Mbunge, ninachoweza kusema ni kwamba asilimia Kubwa ya mnaomtukana na kumkashifu mbatia ni wapinzani na vinara hapa ni cdm.....hebu turudi nyuma kidogo, wiki chache zilizopita Mbatia huyu huyu alifuta kesi yake ya msingi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Kawe.....alikuwa MZURI sana kwa upande WA upinzani. Leo kateuliwa na Magamba basi na yeye ni gamba....duh! Basi inamaana Zito naye ni Gamba kwani alichaguliwa na Magamba kuwa mwenyekiti WA ile kamati bungeni. AMA Mapesa naye ni gamba. Hebu mambo mengine msiweke mbele kutuhumu tuuuuuuu bila kuchekecha.
 
Bila kujali kuteuliwa kwake MHE. Mbatia kuwa Mbunge, ninachoweza kusema ni kwamba asilimia Kubwa ya mnaomtukana na kumkashifu mbatia ni wapinzani na vinara hapa ni cdm.....hebu turudi nyuma kidogo, wiki chache zilizopita Mbatia huyu huyu alifuta kesi yake ya msingi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Kawe.....alikuwa MZURI sana kwa upande WA upinzani. Leo kateuliwa na Magamba basi na yeye ni gamba....duh! Basi inamaana Zito naye ni Gamba kwani alichaguliwa na Magamba kuwa mwenyekiti WA ile kamati bungeni. AMA Mapesa naye ni gamba. Hebu mambo mengine msiweke mbele kutuhumu tuuuuuuu bila kuchekecha.

Huyu Mbatia anatuhumiwa na kuhukumiwa kwa kauli zake kama hii aliyotoa......
 
Mbunge ni mwakilishi....hivyo Mbatia ana mwakilisha Rais bungeni....Rais chama chake hakiamini katika kumwaga damu ila kinamwaga damu kabisa....Mbatia anawakilisha wamwaga damu ila yeye haamini katika kumwaga damu!
Mbatia ni mpinzani anaepinga imani katika kumwaga damu lakini hapingi ufisadi,wizi wa mali za umma,kutokuwajibika kwa viongozi wa serikali,uzembe uliopelekea mfumuko wa bei,maisha magumu,kujilimbikizia mali viongozi,kufuta posho bungeni n.k...............!
 
jamani sisi ni great thinkers, kwanini tunaongea bila ku reason? we should reason before talking maana itafanya tuonekane wapumbavu
 
what a load of nonsense.....NCCR inakufa na ndio maana wanaanza kukimbilia ccm taratibu...this coming election ya 2015 tutaona nccr itapata wabunge wangapi....hata hao walionao sasa hivi 2015 wanapigwa chini...its the beginning of the end for nccr

Ndugu mbatia viongozi wa chadema wanaokatwa mapanga na kuchinjwa na wengine kutishiwa maisha yao...wanatishiwa na watu wa chama gani??!! Unaongea kama vile hujaenda shule...Njaa jamani kitu kibaya sana.:thinking:

hello bro!!!
i think what you have written is a clear and complete representation of what NCCR has become and you couldn't say it better!!!!
on the other hand I'm personally very comforted by his "appointment" as a special delegate of Kikwete, we have to find the positive aspects even in a negative situation what i mean is even those who were doubtful regarding his loyalty to the UPINZANI now know for sure that the guy is not one of us - Kikwete anaiongezea CHADEMA nguvu bila ya yeye kujua hilo. Mnakumbuka CUF kabla ya ndoa yao na CCM walivyokuwa wakibalika na mnasemaje na mkilinganisha na hali yao ya kisiasa kwa sasa??? Jibu najua mnalo wote. TLP??? nafikiri haina hata haja ya kuongelewa...
sasa basi badala ya kugawa kura katika vyama ambavyo ni upinzani uchwara basi ni afadhali viungane na CCM kama vinavyofanya kwa sasa na wapiga kura mwaka 2015 hawatakuwa na haja ya kuweweseka katika kupiga kura tayari watakuwa wanajua ni nani hasa anapigana kwa maslahi ya wananchi wa kawaida wa Tanzania. KUDOS FOR KIKWETE!!!!

 
Bila kujali kuteuliwa kwake MHE. Mbatia kuwa Mbunge, ninachoweza kusema ni kwamba asilimia Kubwa ya mnaomtukana na kumkashifu mbatia ni wapinzani na vinara hapa ni cdm.....hebu turudi nyuma kidogo, wiki chache zilizopita Mbatia huyu huyu alifuta kesi yake ya msingi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Kawe.....alikuwa MZURI sana kwa upande WA upinzani. Leo kateuliwa na Magamba basi na yeye ni gamba....duh! Basi inamaana Zito naye ni Gamba kwani alichaguliwa na Magamba kuwa mwenyekiti WA ile kamati bungeni. AMA Mapesa naye ni gamba. Hebu mambo mengine msiweke mbele kutuhumu tuuuuuuu bila kuchekecha.

soma katiba na kanuni za Bunge kabla ya kutoa mchango jamvini.
 
hello bro!!!
i think what you have written is a clear and complete representation of what NCCR has become and you couldn't say it better!!!!
on the other hand I'm personally very comforted by his "appointment" as a special delegate of Kikwete, we have to find the positive aspects even in a negative situation what i mean is even those who were doubtful regarding his loyalty to the UPINZANI now know for sure that the guy is not one of us - Kikwete anaiongezea CHADEMA nguvu bila ya yeye kujua hilo. Mnakumbuka CUF kabla ya ndoa yao na CCM walivyokuwa wakibalika na mnasemaje na mkilinganisha na hali yao ya kisiasa kwa sasa??? Jibu najua mnalo wote. TLP??? nafikiri haina hata haja ya kuongelewa...
sasa basi badala ya kugawa kura katika vyama ambavyo ni upinzani uchwara basi ni afadhali viungane na CCM kama vinavyofanya kwa sasa na wapiga kura mwaka 2015 hawatakuwa na haja ya kuweweseka katika kupiga kura tayari watakuwa wanajua ni nani hasa anapigana kwa maslahi ya wananchi wa kawaida wa Tanzania. KUDOS FOR KIKWETE!!!!


Very good observation......
 
mbatia hana mwelekeo na sii mpinzani kipind cha uchaguzi alijiweka kawe ili kumvuruga halima. mjinga asojua anachotaka. hivyi bungeni nccr wana wabunge wangapi. anayejua naomba anifahmishe
 
Mbatia ni kilaza hamjui? ona! points zake utadhani hajawahi kwenda shule, yaani huo ubunge wa bure usiosotewa ndo domo juu; kagombee 2015 jimbo lolote tz kama hujaambulia kura yako 1 bila hata ya mkeo. Umeniudhi kweli hadi pressure imepanda.
 
Hivi duniani kuna fedheha na aibu kama mwanadamu kujitia utumwani kwa sababu ya tumbo au uroho wa madaraka? Bwana Mbatia hiyo si heshima wala kupenda vurugu bali ushahidi kuwa wewe ni nyemelezi na mchumia tumbo. Finito.
 
Mbatia ni kilaza hamjui? ona! points zake utadhani hajawahi kwenda shule, yaani huo ubunge wa bure usiosotewa ndo domo juu; kagombee 2015 jimbo lolote tz kama hujaambulia kura yako 1 bila hata ya mkeo. Umeniudhi kweli hadi pressure imepanda.

Hakika huyu amejidhalilisha hana mfanowe...
 
Kwani kuna Chama kina amini katika vurugu za kumwaga damu?This is Too low!
 
Nasikia kuna msemo "penzi ni kikohozi kulificha huwezi..."

Penzi la Mbatia na ccm limefika mahali halifichiki tena, ni heshima kwake (Mbatia) kuwa limewekwa wazi sasa.
 
Wao wana dola sisi tuna Nguvu ya Umma! Kimsingi uteuzi wa mbatia ni aibu kubwa kwa NCCR!
 
Back
Top Bottom