WILSON MWIJAGE
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 276
- 76
Mbatia wa ajabu kama kibuyu,wala hajui anataka nini masikini wa akili huyu.hahahahahaha
Ndugu,
Unabii umetimia
Mbatia wa ajabu kama kibuyu,wala hajui anataka nini masikini wa akili huyu.hahahahahaha
BARKMEI heri hata ile kesi aliifuta..mana mahakama za magamba wangetengua ubunge wa Halima Mdee halafu si unajua tena kesi ya Mnyika bado hukumu yake,yaani dar kusingekuwa na mbunge wa cdmNdiyo malipo ya mkulu kwa Mbatia alipomwambia azigawe kura za Mdee ili mysweet wake "malaika" ashinde kirahisi.
Watu mnapaniki sana mnakuwa kama hamjui kama Siasa ni kama kucheza chess, hapo nampongeza Kikwete naona Queen wa Chadema under CHECK!
what a load of nonsense.....NCCR inakufa na ndio maana wanaanza kukimbilia ccm taratibu...this coming election ya 2015 tutaona nccr itapata wabunge wangapi....hata hao walionao sasa hivi 2015 wanapigwa chini...its the beginning of the end for nccr
Ndugu mbatia viongozi wa chadema wanaokatwa mapanga na kuchinjwa na wengine kutishiwa maisha yao...wanatishiwa na watu wa chama gani??!! Unaongea kama vile hujaenda shule...Njaa jamani kitu kibaya sana.:thinking:
hello bro!!!
i think what you have written is a clear and complete representation of what NCCR has become and you couldn't say it better!!!!
on the other hand I'm personally very comforted by his "appointment" as a special delegate of Kikwete, we have to find the positive aspects even in a negative situation what i mean is even those who were doubtful regarding his loyalty to the UPINZANI now know for sure that the guy is not one of us - Kikwete anaiongezea CHADEMA nguvu bila ya yeye kujua hilo. Mnakumbuka CUF kabla ya ndoa yao na CCM walivyokuwa wakibalika na mnasemaje na mkilinganisha na hali yao ya kisiasa kwa sasa??? Jibu najua mnalo wote. TLP??? nafikiri haina hata haja ya kuongelewa...
sasa basi badala ya kugawa kura katika vyama ambavyo ni upinzani uchwara basi ni afadhali viungane na CCM kama vinavyofanya kwa sasa na wapiga kura mwaka 2015 hawatakuwa na haja ya kuweweseka katika kupiga kura tayari watakuwa wanajua ni nani hasa anapigana kwa maslahi ya wananchi wa kawaida wa Tanzania. KUDOS FOR KIKWETE!!!!
Mkuu hapo kwenye rangi nyekundu, hata hao waliopo nadhani kuna kosa lilifanyika vinginevyo wengi wao wangekuwa CDM.