Uteuzi wa wabunge wapya

KATATANAMA

Member
Feb 15, 2012
63
6
Kikwete ameteua wabunge watatu (3) kwa mamlaka aliyopewa kama rais ambao ni:
1. Profesa Sospeter Muhongo.
2. Bi. Janet Mbene na
3. James Mbatia.
Source: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.
 
Kikwete ameteua wabunge watatu (3) kwa mamlaka aliyopewa kama rais ambao ni:
1. Profesa Sospeter Muhongo.
2. Bi. Janet Mbene na
3. James Mbatia.
Source: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.
Mkuu, hii taarifa tayari ipo humu jukwaani. Kazi kwenu Mods.
 
Duuh..kwan bado walikuwa hawajitimia idadi ya waliokwisha teuliwa.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…