makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Msitegemee any changes. Is just the same wine in a new bottle.
SERA NI ZILEZILE ZA CHAMA TWAWALA-CCM.
MIJITU NI ILEILE NA SURA NI ZILEZILE. Watateuana,wataapishana halafu wataenda Ngurudoto kwenye ati SEMINA ELEKEZI kwa ajili ya ule motto wa sasa wa KASI ZAIDI,ARI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI kuelekea kwenye UFISADI.
Siajabu in 1-2 years askari wake wa miavuli wakaanza kupata ajali mmoja mmoja mpaka WM na baada ya hapo Baraza la Mawaziri linavunjwa na serikali inaundwa upya na watu wanaendelea kutafuna PESA YA WALIPA KODI kwa kasi zaidi,ari zaidi na nguvu zaidi.
Mpaka 2015 Wadanganyika watakuwa hoi bin taabani. Let's just wait and see.
SERA NI ZILEZILE ZA CHAMA TWAWALA-CCM.
MIJITU NI ILEILE NA SURA NI ZILEZILE. Watateuana,wataapishana halafu wataenda Ngurudoto kwenye ati SEMINA ELEKEZI kwa ajili ya ule motto wa sasa wa KASI ZAIDI,ARI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI kuelekea kwenye UFISADI.
Siajabu in 1-2 years askari wake wa miavuli wakaanza kupata ajali mmoja mmoja mpaka WM na baada ya hapo Baraza la Mawaziri linavunjwa na serikali inaundwa upya na watu wanaendelea kutafuna PESA YA WALIPA KODI kwa kasi zaidi,ari zaidi na nguvu zaidi.
Mpaka 2015 Wadanganyika watakuwa hoi bin taabani. Let's just wait and see.