Uteuzi wa Dkt. Biteko ni mchawi mpe mwana amlee

Uteuzi wa Dkt. Biteko ni mchawi mpe mwana amlee

Dk. Biteko ni "mchapa kazi" wa viwango vya Dk. Magufuli na serikali yake kwa vipimo vya wapinzani wa Dk. Samia na serikali yake. Biteko alikuwa waziri wa kutumainiwa na ndugu wa karibu wa JPM ambae kwenye awamu ya Tano ya JPM alipewa wizara nyeti sana ya madini.

Inasemekana kuwa wakati wa awamu ya tano umeme ulikuwa haukatiki katiki ovyo kama Sasa na mambo kwenye wizara zote yalikuwa yanakwenda vizuri kuliko Sasa kwa vipimo vya wakosoaji wa serikali ya Mama Samia.

Dr. Biteko kuteuliwa kuwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa nishati ni jibu la wakosoaji wa serikali ya Mama Samia kwenye kukatika katika kwa umeme na utendaji kwenye wizara zote. Huyu atakuwa shahiti kama kweli Kuna uzembe uliokuwa ukifanywa na January makamba kwenye umeme au la maana Sasa ndiye waziri wa nishati. Ni shahidi kama Mwl. Majaliwa anazembea katika usimamiaji utendaji wa wizara zote maana Biteko ni Naibu waziri Mkuu.

Tunasubiri majibu ya kero zetu kujua kama kero hizi ni genuine au za kizembe TU?
Biteko ni mama kujaribu kuwafurahisha watu wa kanda ya ziwa. Maana anajua wazi hawammpendi kwa kumsaliti JPM. Anajua akicheza 2025 kanda ya ziwa wanamnyoosha misa ya kwanza tu.
 
Dk. Biteko ni "mchapa kazi" wa viwango vya Dk. Magufuli na serikali yake kwa vipimo vya wapinzani wa Dk. Samia na serikali yake. Biteko alikuwa waziri wa kutumainiwa na ndugu wa karibu wa JPM ambae kwenye awamu ya Tano ya JPM alipewa wizara nyeti sana ya madini.

Inasemekana kuwa wakati wa awamu ya tano umeme ulikuwa haukatiki katiki ovyo kama Sasa na mambo kwenye wizara zote yalikuwa yanakwenda vizuri kuliko Sasa kwa vipimo vya wakosoaji wa serikali ya Mama Samia.

Dr. Biteko kuteuliwa kuwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa nishati ni jibu la wakosoaji wa serikali ya Mama Samia kwenye kukatika katika kwa umeme na utendaji kwenye wizara zote. Huyu atakuwa shahiti kama kweli Kuna uzembe uliokuwa ukifanywa na January makamba kwenye umeme au la maana Sasa ndiye waziri wa nishati. Ni shahidi kama Mwl. Majaliwa anazembea katika usimamiaji utendaji wa wizara zote maana Biteko ni Naibu waziri Mkuu.

Tunasubiri majibu ya kero zetu kujua kama kero hizi ni genuine au za kizembe TU?
Ngoja tuone !
 
Biteko ni mama kujaribu kuwafurahisha watu wa kanda ya ziwa. Maana anajua wazi hawammpendi kwa kumsaliti JPM. Anajua akicheza 2025 kanda ya ziwa wanamnyoosha misa ya kwanza tu.
Hata hujui kitu ww. Kwa katiba hii Kuna Rais anaweza kushindwa uchaguzi? Mbona JPM aliwaengua wagombea wote wa uchanguzi kupitia vyama vya kijinga vya upinzani?
 
Dk. Biteko ni "mchapa kazi" wa viwango vya Dk. Magufuli na serikali yake kwa vipimo vya wapinzani wa Dk. Samia na serikali yake. Biteko alikuwa waziri wa kutumainiwa na ndugu wa karibu wa JPM ambae kwenye awamu ya Tano ya JPM alipewa wizara nyeti sana ya madini.

Inasemekana kuwa wakati wa awamu ya tano umeme ulikuwa haukatiki katiki ovyo kama Sasa na mambo kwenye wizara zote yalikuwa yanakwenda vizuri kuliko Sasa kwa vipimo vya wakosoaji wa serikali ya Mama Samia.

Dr. Biteko kuteuliwa kuwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa nishati ni jibu la wakosoaji wa serikali ya Mama Samia kwenye kukatika katika kwa umeme na utendaji kwenye wizara zote. Huyu atakuwa shahiti kama kweli Kuna uzembe uliokuwa ukifanywa na January makamba kwenye umeme au la maana Sasa ndiye waziri wa nishati. Ni shahidi kama Mwl. Majaliwa anazembea katika usimamiaji utendaji wa wizara zote maana Biteko ni Naibu waziri Mkuu.

Tunasubiri majibu ya kero zetu kujua kama kero hizi ni genuine au za kizembe TU?
Kumbuka Biteko ni mmoja, je wasaidizi wake wataimba nae wimbo mmoja, au watamwachia zigo limlemee waanze kumcheka?
 
Back
Top Bottom