Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,851
- 16,409
Hizo fitina tu mwacheni apige kazi au kisa kaitosa chadema?
Manara alikuwa ngazi ya tawi Magomeni.Cheo cha Haji Manara!
Usimchukulie poa!Manara alikuwa ngazi ya tawi Magomeni.
Akatimuliwa kwa utapeliManara alikuwa ngazi ya tawi Magomeni.
Ni mwendo wa kusonyana tu.Hakuna kuacha maji ya kunywa mezani.Sasa itakuwaje ?
Hivi Mangula bado yupo ?Ni mwendo wa kusonyana tu.Hakuna kuacha maji ya kunywa mezani.
Dah!Mzee atakuwa anakagua mashamba yake ya vitofu(viazi mviringo)kule ku-Nzombe!Hivi Mangula bado yupo ?
Noma sana !Ally kuna siku nilikuwa nae maeneo ya Mbauda, Arusha bar moja inaitwa Lalago tukawa tunakula vitu nikamwambia kabisa "wewe ni mamluki". Alikasirika ila ndio hivyo tena ukweli upo wazi sasa.
Kwanza lijamaa lenyewe linalelewa na mwanamke na linaishi kwao hapo Mbauda jirani na Mama Mbauda.
Post in thread 'Yaliyojiri kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, Peter Kibatala anamkaanga Hawa Subira Mwaifunga' Yaliyojiri kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, Peter Kibatala anamkaanga Hawa Subira Mwaifunga
Kila la heri kwakeDah!Mzee atakuwa anakagua mashamba yake ya vitofu(viazi mviringo)kule ku-Nzombe!
Kazi kweli kweli....Ccm sio chama cha siasa kwa sasa.View attachment 2702270
Makada kadhaa wa ccm Mkoani Dar es Salaam , wameshangazwa na kuchukizwa na uteuzi wa Kada wa zamani wa Chadema , Ally Bananga kuwa Mwenezi wa Chama hicho Mkoani humo , makada hao wafia chama walidhani kama ni uteuzi basi wao ndio walipaswa kukumbukwa , kutokana na kutowahi kusaliti chama chao
Badala yake ameteuliwa aliyesaliti Chama na kukihujumu majukwaani , tena Wakuja ! jambo hili limewasononesha sana chawa waliodhani teuzi za DSM zitakuwa zao .
Mytake : CCM ina wenyewe , na hao wenyewe ndio wanaopanga safu ya uongozi , nyie wengine endeleeni kuvishwa fulana wakati wa uchaguzi .
unajuwa maana ya neno fitinaHizo fitina tu mwacheni apige kazi au kisa kaitosa chadema?
Hayakuhusu ya CCM kwa hiyo achana nayoView attachment 2702270
Makada kadhaa wa ccm Mkoani Dar es Salaam , wameshangazwa na kuchukizwa na uteuzi wa Kada wa zamani wa Chadema , Ally Bananga kuwa Mwenezi wa Chama hicho Mkoani humo , makada hao wafia chama walidhani kama ni uteuzi basi wao ndio walipaswa kukumbukwa , kutokana na kutowahi kusaliti chama chao
Badala yake ameteuliwa aliyesaliti Chama na kukihujumu majukwaani , tena Wakuja ! jambo hili limewasononesha sana chawa waliodhani teuzi za DSM zitakuwa zao .
Mytake : CCM ina wenyewe , na hao wenyewe ndio wanaopanga safu ya uongozi , nyie wengine endeleeni kuvishwa fulana wakati wa uchaguzi .
Bila shaka huyu Ally Bananga pengine ndiye Lucas mwashambwa au Kamanda Asiyechoka na hatimaye pambio zake zimesikika kwa malkia na kumlipa cheo hiki..View attachment 2702270
Makada kadhaa wa ccm Mkoani Dar es Salaam , wameshangazwa na kuchukizwa na uteuzi wa Kada wa zamani wa Chadema , Ally Bananga kuwa Mwenezi wa Chama hicho Mkoani humo , makada hao wafia chama walidhani kama ni uteuzi basi wao ndio walipaswa kukumbukwa , kutokana na kutowahi kusaliti chama chao
Badala yake ameteuliwa aliyesaliti Chama na kukihujumu majukwaani , tena Wakuja ! jambo hili limewasononesha sana chawa waliodhani teuzi za DSM zitakuwa zao .
Mytake : CCM ina wenyewe , na hao wenyewe ndio wanaopanga safu ya uongozi , nyie wengine endeleeni kuvishwa fulana wakati wa uchaguzi .
Punguza chuki boss.Ally kuna siku nilikuwa nae maeneo ya Mbauda, Arusha bar moja inaitwa Lalago tukawa tunakula vitu nikamwambia kabisa "wewe ni mamluki". Alikasirika ila ndio hivyo tena ukweli upo wazi sasa.
Kwanza lijamaa lenyewe linalelewa na mwanamke na linaishi kwao hapo Mbauda jirani na Mama Mbauda.
Post in thread 'Yaliyojiri kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, Peter Kibatala anamkaanga Hawa Subira Mwaifunga' Yaliyojiri kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, Peter Kibatala anamkaanga Hawa Subira Mwaifunga