Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
BAADHI ya watu watakuwa wamepongeza uteuzi wa Arther Mwambene, kuwa mkurugenzi wa MAELEZO kwa kuzingatia kuwa ni kijana na labda ataleta mabadiliko fulani kwenye tasnia ya habari.
Lakini nataka nitoe angalizo dogo - uteuzi wa Mwambene unatokana na kikao ambacho Benard Membe alikifanya na Rais Kikwete cha kulifungia MwanaHalisi.
Mwambene, licha ya kuwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, ni mtu wa karibu sana na Membe. Infact, pale wizarani watu wakiwa wanamsema vibaya Membe halafu ghafla Mwambene akitokea, wote wananyamaza kimya! Uteuzi wake ni sehemu ya majadiliano aliyofanya Membe siku ile anajadiliana na JK kuhusu MwanaHalisi. Hii sehemu ya strategies zake kuelekea 2015. Kwa sisi tunaojua nini kinaendelea kwenye teuzi hizi, tunasema ngoja tusubiri tuone.....
Lakini nataka nitoe angalizo dogo - uteuzi wa Mwambene unatokana na kikao ambacho Benard Membe alikifanya na Rais Kikwete cha kulifungia MwanaHalisi.
Mwambene, licha ya kuwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, ni mtu wa karibu sana na Membe. Infact, pale wizarani watu wakiwa wanamsema vibaya Membe halafu ghafla Mwambene akitokea, wote wananyamaza kimya! Uteuzi wake ni sehemu ya majadiliano aliyofanya Membe siku ile anajadiliana na JK kuhusu MwanaHalisi. Hii sehemu ya strategies zake kuelekea 2015. Kwa sisi tunaojua nini kinaendelea kwenye teuzi hizi, tunasema ngoja tusubiri tuone.....