pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Ooh kumbe Waislam hawajasoma ndiyo maana teuzi zinawapitia kushoto!Taratibu tu kwa sababu waislam wamestuka wameanza kusomesha,itafika wakati tofauti itakua ndogo sana
Usiangalie dini angalia kazi,hachaguliwi shekhe au askofu hapo
Ubaguzi uko wapi hapo. Acha kuteseka.Mkuu acha ubaguzi wa kidini. Anateuliwa mtu na sio dini yake. Kama unaona anayeteua au aliyeteuliwa hafai ponda uwezo wake sio dini.
Mbona ilalishindwa mkutano wa kusini et "logistic"!!Tatizo lenu akili mgando mmekariri faili ni karatasi zilifungwa pamoja sekretare anabeba kupeleka kwa raisi
Hamjui dunia imebadilika mtu anafanya kazi hapa ofisi ipo NewYork na mafaili yantumwa ndani ya dakika yamepokelewa.
Hujui hata electronic au softcopy ni nini hata scana kwako ni mtihani.
Nchi ina vilaza kweli
NIMECHEKA SANAMzee anapenda kuteua jamani