Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
tabia yake haihalalishi abakwe...............kwa hiyo hoja zako Alien 1-9 zinapoteza mwelekeo. Hoja no. 10 ya kuwa mahakama itazingatia mob-justice....................sioni hata umuhimu wa kujibu kwa sababu that is the last thing the court wants to entertain....................pitia polepole hoja zangu utagundua Lulu has no case to answwer ila DPP anafanyakazi kwa mashinikizo ya mob-justice na wala siyo kwa kuongozwa na sheria au ushahidi alionao mikononi mwake..........
Naona tumeamua rasmi kuingilia uhuru wa mahakama....sijui sheria inasemaje may be kwakuwa tunatumia avatar kwenye social media ....Anyway muhishimiwa ruta naona leo umejitosa kumtetea lulu....Well ni haki yako pia ila nadhani kilichofanyika jana ni kumuondoa lulu pale oyesterbay na kumpeleka Segerea kwakuzingatia kuwa saa 24 zilishapita.... Usishangae hayo mashitaka yakabadilishwa na kuwa manslaughter. Pia ni vigumu kujua walicho nacho wapelelezi mkononi so far.
Uzuri hata mazungumzo ya Lulu na kanumba kwa siku kadhaa zilizopita hadi siku alokuwa anakwenda kwake tayari wanayo. Hayo yatathibitisha kuwa alikuwa "akijilinda " dhidi ya "ubakaji" ama la. Pia yataonesha chanzo cha ugomvi ninini?? Hata alichozungumza Lulu na mashosti zake baada ya "kujilinda" dhidi ya ubakaji nacho ni sehemu muhimu kwenye hii kesi...Mkuu Allien amekukumbusha pia kuna ripoti ya mkemia inasubiriwa.
Kwa maoni yangu (ingawa si mwanasheria kama wewe) ni mapema mno kuhitimisha jambo hili na kwakuwa hatuna information za kutosha tuupe mda nafasi.