Utete wa usalama wa Khamenei kwa kuibuka uasi

Utete wa usalama wa Khamenei kwa kuibuka uasi

Khaibar

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2025
Posts
1,079
Reaction score
3,034
Mnamo tarehe 24 Februari kundi la mujaheddin El Khalq lenye asili ya watu wa KURDI lilivamia makazi ya Ayatollah Khamenei na kuyashambulia kwa risasi.

Idadi ya wanamgambo hao walikua wasiopungua 200 walivamia makazi ya Khamenei kwa lengo la kumuua na kuanzisha mapinduzi wakishirikiana na makundi mengi ya wakurdi kutoka Kaskazini mwa Iraq kurdi state.
Askari wa NOPO walifanikiwa kuzima mashambulizi na kuwaua MEK 100+ na kuwakamata makumi yao wakiwapeleke kizuizini kuwahoji.

Baada ya kuwahoji na kupata taarifa NOPO ilitumwa Kurdi state kuwawinda na imefanikiwa kuvunja moja ya kambi zao Kaskazini mwa Iraq na ukanda wa Boluchistan.

source;CGTN,ALJAZEERA,FRANCE24,AL MAYADEEN.
 
Ndiyo maana wakurdi hubaguliwa Iraq Syria Turkey na Iran, vijamaa vinafki sana
Kama hujui.
Kurdish are Iranic people na kama umewahi kuwasikia watu wanaitwa Medes ndio asili ya Wakurd.

Salhadin muanzilishi wa Ayyubid empire alikuwa Mkurd.

Kitu ambacho Wakurd wanataka ni Nchi
 
Kama hujui.
Kurdish are Iranic people na kama umewahi kuwasikia watu wanaitwa Medes ndio asili ya Wakurd.

Salhadin muanzilishi wa Ayyubid empire alikuwa Mkurd.

Kitu ambacho Wakurd wanataka ni Nchi
Utake nchi ndani ya nchi?..wapashtun ni wengi Afghanistan na Pakistani,wanatakiwa Wadai nchi yao?..wamasai na wamakonde pia Wadai nchi yao?
 
Kama hujui.
Kurdish are Iranic people na kama umewahi kuwasikia watu wanaitwa Medes ndio asili ya Wakurd.

Salhadin muanzilishi wa Ayyubid empire alikuwa Mkurd.

Kitu ambacho Wakurd wanataka ni Nchi
Kuna jamii kubwa tofauti na wakurdi mbona hawakudai nchi!??
Kwahiyo na hizo jamii zingine zidai nchi pia kwasababu ni jamii kubwa kama wakurdi!??
 
trump kafeli tena hapo.ile kauli yake ya kunafki kua.wairani wakimuua kumbe ilikua kinyume chake na kafeli.
 
Kuna jamii kubwa tofauti na wakurdi mbona hawakudai nchi!??
Kwahiyo na hizo jamii zingine zidai nchi pia kwasababu ni jamii kubwa kama wakurdi!??
Wakurd ndio Jamii kubwa duniani isiyo na Taifa, alafu kaa ujue kuwa wakurd walikuwa wana autonomy kabla ya Skyes-Picot agreement
 
Wakurd ndio Jamii kubwa duniani isiyo na Taifa, alafu kaa ujue kuwa wakurd walikuwa wana autonomy kabla ya Skyes-Picot agreement
Ilete hiyo autonomy ilikua inaitwaje!??
Wacha ubishi usio na tija,kuna jamii kubwa sana kuliko kurdi na wala hawakudai kuwa na taifa.
Ukisema hapo kila jamii idai taifa basi kutakua na mamia ya taifa kutoka Iran.
Quds ni miongoni mwa jamii ya watu wengi kuliko kurdi na hawajadai taifa.
 
Ilete hiyo autonomy ilikua inaitwaje!??
Wacha ubishi usio na tija,kuna jamii kubwa sana kuliko kurdi na wala hawakudai kuwa na taifa.
Ukisema hapo kila jamii idai taifa basi kutakua na mamia ya taifa kutoka Iran.
Quds ni miongoni mwa jamii ya watu wengi kuliko kurdi na hawajadai taifa.
Mataifa yote ya middle East leo ni matokeo ya watu wawili Skyes-Picot waliyagawa mataifa hayo kwa namna ambayo Watu mahasimu wakawa nchi moja. Wakurd walipaswa kuwa na Taifa lao.

Washia, Wassuni n.k
 
Mataifa yote ya middle East leo ni matokeo ya watu wawili Skyes-Picot waliyagawa mataifa hayo kwa namna ambayo Watu mahasimu wakawa nchi moja. Wakurd walipaswa kuwa na Taifa lao.

Washia, Wassuni n.k
Kwanini kurdi wapaswe kuwa na taifa lao!??
Je Quds hawapaswi kuwa na taifa lao ilhali wa ni wengi kuliko kurdi!??
 
Back
Top Bottom