Nxt Millionaire
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 406
- 89
umetumwa uwape ujiko nini?? watakuja DYNAPHARM nao na porojo zao..........................twafwa!!!!!!!!!!!!!!!
Je mtu kufanya jambo ama ku-share taarika kama hii lazima uwe umetumwa? fikiria ni wangapi wenye matatizo kama hayo wanaweza kusaidika, ikiwa weye uko fiti mshukuru Mungu ndugu yangu si wote wako fiti, watu wanamaangaiko na hawajui wapi waponee.