UTENGUZI/UTEUZI Maoni na ushauri

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,985
20,263
Napokea maombi ya wafuasi wangu Inbox wakitaka maoni kuhusu utenguzi, na uteuzi wa IGP na DCI. Maoni yangu ni mafupi tu, Jeshi la Polisi lina siasa kali ambazo zinaliangamiza taifa, Ushauri nilishauweka katiks kitabu cha Ujasusi, Mh Rais vunja jeshi hili na unda Huduma ya Polisi.

Kwa maoni yangu, Sifikiri mabadiliko ya mtu ndani ya Jeshi la Polisi, Si Wambura, Si Kingai, hawa wote ni mfumo uleule wa siasa kali za jeshi la Polisi. Ninaamini mabadiliko ya kitaasisi kimfumo, na kisheria ziadi.

Kwa wasiojua wakati wa kumbambikia kesi Mbowe na Wapinzani wengine nchini, Mkuu wa Polisi (IGP) alikuwa Siro, Mpelelezi wa Taifa (DCI) alikuwa Boaz, Mpelelezi wa Kanda ya Dar (ZCO) alikuwa Wambura, na Kigai akiwa mpelelezi wa Mkoa wa Kinondoni. Hawa wote ni kitu kimoja. Leo rais hawezi kumtoa mbinguni mtu wa kuwa IGP au DCI, ni lazima amtoa hukohuko Polisi.

Tatizo sio watu, ni mfumo wa Jeshi zima unaoruhusu siasa kali na hatari kwa Taifa letu. Jeshi la Polisi linaundwa na mfumo wa kikoloni ambao unazingatia kanuni kuu tatu: 1. Mkubwa hakosei, 2, Akikosea rejea kwenye kanuni ya kwanza.

Kwa dunia ya leo mtu asiyejua PGO mbele ya macho ya dunia, leo ankuwa mpelelezi mkuu katika dunia ya kisasa ya modern Spy or Modern Investigator or Modern detective. Ni hatari kwakweli, Ndiomaana ushauri kwa Rais ni kuvunja jeshi la Polisi na kuunda chombo kingine. Dunia ya leo mtu hasifiwi kwa kupambana na majambazi, Bali kwa kuzuia ujambazi. In a digital technology na sio vinginevyo. Leo uhalifu wa silaha umebaki mikoani na maeneo machache, Dinia iko kwenye uhalifu wa Kidigitali ndiko tunakotakiwa kuwekeza kwa nguvu zote. Cyber security ndio eneo muhimu sana.

Tukija uteuzi wa Simon Siro kuwa Balozi, kwangu bado hatujajua kama taifa tunahitaji nini toka katika balozi zetu, Kumteua Siro kuwa Balozi ni lazima tujiulize, ni nini tunataka a delivery ambacho hakuki delivery akiwa IGP. Je uhusiano wetu na Zimbwe ni wakijeshi hadi tupeleke Mjeshi huyu? Ninaamini Zimbawe ni eneo muhimu la kutafuta wateja wa Bandari yetu na Wateja wa mazao yetu ya kilimo, pia usafirishaji, Taifa lingepeleka balozi mwenye ujuzi wa uchumi na masoko kijana akapambane huko kuliko kupeleka Mzee wetu ambae ameshastafu.
_______
 
Kwa maoni yangu, Sifikiri mabadiliko ya mtu ndani ya Jeshi la Polisi, Si Wambura, Si Kingai, hawa wote ni mfumo uleule wa siasa kali za jeshi la Polisi. Ninaamini mabadiliko ya kitaasisi
Kamanda wa intelijensia IGP Yerricko.

Hapa kinachoangaliwa ni uhai wa 2025. Kuhusu ustawi wa Tanzania kama taifa kila mtu apambane na hali yKe.
 
Kwa maoni nilyoyasoma Hadi sasa nasema wazi mamlaka ya uteuzi / Muheshimiwa Rais Badilika, wana inchi tunahoji teuzi zako hazina impact mtu ameshajichokea amestaafu bado unamlambiaha tena asali, wakati kuna watu making tu na hawana ajira?

Mbona usishangae swala la uteuzi wa IGP na DCI linapigiwa kelele sana? Hebu shtuka sasa, wananchi tunaanza kuchoka.

Na mwogope mtu akisha choka na jambo huwa anakuwa na maamuzi magumu, Ni rahisi zaidi kutawala kundi la Ng'ombe, lakini siku kundi Hilo wakiamua Leo hatendi utakako hata mchungaji hawezi kusogelea kundi. Mamlaka ya uteuzi badilikeni
 
Napokea maombi ya wafuasi wangu Inbox wakitaka maoni kuhusu utenguzi, na uteuzi wa IGP na DCI. Maoni yangu ni mafupi tu, Jeshi la Polisi lina siasa kali ambazo zinaliangamiza taifa, Ushauri nilishauweka katiks kitabu cha Ujasusi, Mh Rais vunja jeshi hili na unda Huduma ya Polisi.
Nimesoma nimeishia uliposema dunia ya leo uhalifu wa silaha umebaki mikoani

Kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Polisi na kufanya uhalifu wa silaha usiwe issue kubwa Tanzania ndo inakufanya useme dunia nzima hakuna uhalifu wa silaha? Kweli kilaza wewe

Marekani tu kila siku wanalia na uhalifu wa Silaha, Uganda hapo, Congo, Afrika kusini, Nigeria na hata Msumbiji tu watu kila siku wanalia na uhalifu wa silaha alafu unaleta siasa zako hapa?

Kuna mapungufu kwenye Jeshi la polisi hasa kwenye kuendekeza rushwa ila hatuwezi kataa kuwa kati ya kazi za kutukuka sana zinazofanywa na Jeshi la Polisi la Tanzania ni kupambana na uhalifu na kuzuia uhalifu ukiwemo wa silaha na ndo mana leo Tanzania hatuna matukio mengi
 
Napokea maombi ya wafuasi wangu Inbox wakitaka maoni kuhusu utenguzi, na uteuzi wa IGP na DCI. Maoni yangu ni mafupi tu, Jeshi la Polisi lina siasa kali ambazo zinaliangamiza taifa, Ushauri nilishauweka katiks kitabu cha Ujasusi, Mh Rais vunja jeshi hili na unda Huduma ya Polisi.
Wamesikia Ila watajifanya hawajasikia
 
Jeshi la Polisi lina siasa kali ambazo zinaliangamiza taifa, Ushauri nilishauweka katiks kitabu cha Ujasusi, Mh Rais vunja jeshi hili na unda Huduma ya Polisi.

Kwa maoni yangu, Sifikiri mabadiliko ya mtu ndani ya Jeshi la Polisi, Si Wambura, Si Kingai, hawa wote ni mfumo uleule wa siasa kali za jeshi la Polisi. Ninaamini mabadiliko ya kitaasisi kimfumo, na kisheria ziadi.

Kwa wasiojua wakati wa kumbambikia kesi Mbowe na Wapinzani wengine nchini, Mkuu wa Polisi (IGP) alikuwa Siro, Mpelelezi wa Taifa (DCI) alikuwa Boaz, Mpelelezi wa Kanda ya Dar (ZCO) alikuwa Wambura, na Kigai akiwa mpelelezi wa Mkoa wa Kinondoni. Hawa wote ni kitu kimoja. Leo rais hawezi kumtoa mbinguni mtu wa kuwa IGP au DCI, ni lazima amtoa hukohuko Polisi

Tatizo sio watu, ni mfumo wa Jeshi zima unaoruhusu siasa kali na hatari kwa Taifa letu. Jeshi la Polisi linaundwa na mfumo wa kikoloni ambao unazingatia kanuni kuu tatu: 1. Mkubwa hakosei, 2, Akikosea rejea kwenye kanuni ya kwanza.

Kwa dunia ya leo mtu asiyejua PGO mbele ya macho ya dunia, leo ankuwa mpelelezi mkuu katika dunia ya kisasa ya modern Spy or Modern Investigator or Modern detective. Ni hatari kwakweli, Ndiomaana ushauri kwa Rais ni kuvunja jeshi la Polisi na kuunda chombo kingine. Dunia ya leo mtu hasifiwi kwa kupambana na majambazi, Bali kwa kuzuia ujambazi. In a digital technology na sio vinginevyo. Leo uhalifu wa silaha umebaki mikoani na maeneo machache, Dinia iko kwenye uhalifu wa Kidigitali ndiko tunakotakiwa kuwekeza kwa nguvu zote. Cyber security ndio eneo muhimu sana.

Tukija uteuzi wa Simon Siro kuwa Balozi, kwangu bado hatujajua kama taifa tunahitaji nini toka katika balozi zetu, Kumteua Siro kuwa Balozi ni lazima tujiulize, ni nini tunataka a delivery ambacho hakuki delivery akiwa IGP. Je uhusiano wetu na Zimbwe ni wakijeshi hadi tupeleke Mjeshi huyu? Ninaamini Zimbawe ni eneo muhimu la kutafuta wateja wa Bandari yetu na Wateja wa mazao yetu ya kilimo, pia usafirishaji, Taifa lingepeleka balozi mwenye ujuzi wa uchumi na masoko kijana akapambane huko kuliko kupeleka Mzee wetu ambae ameshastafu.

Makala by:
Yeriko Nyerere

Posted by:
Kurunzi
21/07/2021
 
Angeanza na mfumo wa kiuongozi uliopo chadema ingekuwa maturity critisism.

Ila hii ya kuona mwingine amekosea sababu aligusa au atagusa maslahi yako ni uchwara tu.

Chadema bahati mbaya ni wasahaulifu sana. Katika kipindi cha sirro hakunaga mwanachadema au mpinzani kipindi cha uchaguzi aliyeuawa au kuchomewa nyumba au kumwagiwa tindikali. Miaka iliyopita hayo yalikuwa ya kawaida.

Kabla ya sirro tulishuhudia wakiwemo hao chadema kupigwa mabomu ya machozi, kuuawa kwa makundi mfano kule arusha 2010, uhalifu wa silaha bila woga maeneo ya public na kuna maeneo serikali ilisalimu amri na ili upite lazima usindikizwe na silaha. Ila baada ya sirro hayo yote yalikoma.

Leo mtu kama yeriko anahoji utendaji wa sirro.? Kwamba kama alidhibiti usalama kwa nchi ikiwemo ugaidi kule mwanza, pangani, kibiti na mtwara hatoweza kazi ya ubalozi.

Ukiendekeza propaganda unakuwa mwehu.
 
Napokea maombi ya wafuasi wangu Inbox wakitaka maoni kuhusu utenguzi, na uteuzi wa IGP na DCI. Maoni yangu ni mafupi tu, Jeshi la Polisi lina siasa kali ambazo zinaliangamiza taifa, Ushauri nilishauweka katiks kitabu cha Ujasusi, Mh Rais vunja jeshi hili na unda Huduma ya Polisi.

UTEUZI zinafanywa na JK kuapisha anafanya Samia.​

 
Back
Top Bottom