Wapi inapatikana miche yake?! Na inaweza kupatikana kwa wingi au ndo kama ilivyozoeleka manake sijawahi kuona angalau mistafeli mitano ikiwa pamojazuri kwakweli mwanangu !jaribu hiyo pia !nimebahatika kupata miche yake bas kila mara naiangalia ikue tu jaman !lol
Lol.mi moja tuu, tukishatoka ranger nitakupitisha na wewe pande flani ivii .....ama vipi!
Lol.
Vyuku au Meee.Kushushia shushia
Naam, umepatiaaa.Si nasikia na majani yake ukiponda juice yake inatibu maradhhi lukuki hatari ???
Vyuku au Meee.
Hapo umenifikisha kitu cha kienyeji au sekela, oyooooooo.Kokoriko
Tamu kuliko nini.Duh Jana nilikunywaaa Aisee ni tamu sana
Kuna tofauti tena kubwa tu.Ni hilo hilo
Kuanzia mizizi, magamba, majani hadi matunda vyote dawa.Asante mkuu kwa darasa,
je ni matunda yake tu au na majani pia?
matunda yake yanashambuliwa sana na wadudu
ndo kisa cha mimi kutaka kuukata.
Hapo umenifikisha kitu cha kienyeji au sekela, oyooooooo.
Dah,sasa hii elimu nitaipata wapi?Kuanzia mizizi, magamba, majani hadi matunda vyote dawa.
Tunda tamu saana hili... yangu yamekuwa yakishambuliwa na sisimizi sijajua shida nini. Unaweza liona limeanza kukomaazuri kwakweli mwanangu !jaribu hiyo pia !nimebahatika kupata miche yake bas kila mara naiangalia ikue tu jaman !lol
Mi kwangu inaota yakidondoka.Wapi inapatikana miche yake?! Na inaweza kupatikana kwa wingi au ndo kama ilivyozoeleka manake sijawahi kuona angalau mistafeli mitano ikiwa pamoja