Utendaji wa Magufuli unaongoza Afrika

Utendaji wa Magufuli unaongoza Afrika

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,445
Reaction score
1,890
Habari wakuu,
Tuna kila sababu sisi watanzania kumshukuru Mungu na kutoa fungu la Kumi kwa Kutupatia Rais Magufuli,
Mataifa mengi yanatamani sana kuwa na kiongozi anayefanya ambayo magufuli anafanya lakin wameshindwa,

Kwa haraka haraka ranking ya utendaji Afrika inamuweka Rais Magufuli nafasi ya kwanza,

Na kwa africa mashariki anayefuata ni Kagame ambaye kwa Africa ameshika nafasi ya 4,

Mnangagwa kashika nafasi ya 5 , wakati Uhuru Kenyata akiwa nafasi ya 17

https://www.africaranks.com/forums/presidents.6/
 
Ha ha ha.. Mtawala yeyote yule hawezi kusifiwa utendaji, kwa sababu sifa kubwa ya mtawala ni udikteta.. Kila kitu anajua yeye, na akitokea mtu kumpinga atakiona kilichomtoa kanga manyoya.. Kiongozi ndie anaeweza kusifiwa kwa utendaji mzuri kwa sababu anachofanya ni kuchukua mawazo ya wengi na kuyafanyia kazi..
 
Chadema watapinga na kumtaka mzee wa kupata alosto na kukimbilia S Africa ndiyo aongoze
 
Habari wakuu,
Tuna kila sababu sisi watanzania kumshukuru Mungu na kutoa fungu la Kumi kwa Kutupatia Rais Magufuli,
Mataifa mengi yanatamani sana kuwa na kiongozi anayefanya ambayo magufuli anafanya lakin wameshindwa,

Kwa haraka haraka ranking ya utendaji Afrika inamuweka Rais Magufuli nafasi ya kwanza,

Na kwa africa mashariki anayefuata ni Kagame ambaye kwa Africa ameshika nafasi ya 4,

Mnangagwa kashika nafasi ya 5 , wakati Uhuru Kenyata akiwa nafasi ya 17

https://www.africaranks.com/forums/presidents.6/
Tunakubali sawa ila hao jamaa(wapanga rank) wanajua kama huku mtaani tunaomba poo kwa maisha yalivyo magumu?
 
Itakuwa propaganda hii... Mbona hyo link yako haifunguki??

"World Happiness Index" ya mwaka huu 2018, inaonyesha kuwa kny orodha ya nchi zenye wananchi wasio na furaha kbs (wenye stress kubwa), Tz inashikilia namba 2 kati ya nchi 156 duniani.. Hyo itakuwa imesababishwa na huu "uongozi bora" unaozungumzia hapa!
 
Siwez kushaanga hawa sindo walisha wah kusema mkuru alipigiwa cm na raisi wamalekan au
 
Back
Top Bottom