Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
Utekelezaji wa mradi wa Bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda mpaka Chongoleani, Tanga-Tanzania (EACOP) kwa ujumla umefikia asilimia 55 na umeweza kuajiri jumla ya Watanzania 6,763.
Kampuni ya EACOP imeajiri Watanzania 254, Wakandarasi wa mradi wameajiri Watanzania 6,050 na watoa huduma katika Mradi wameajiri Watanzania 459.
Huo ni utekekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2024/25 kwa Wizara ya Nishati eneo la ujenzi wa bomba la mafuta la EACOP
Kampuni ya EACOP imeajiri Watanzania 254, Wakandarasi wa mradi wameajiri Watanzania 6,050 na watoa huduma katika Mradi wameajiri Watanzania 459.
Huo ni utekekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2024/25 kwa Wizara ya Nishati eneo la ujenzi wa bomba la mafuta la EACOP