WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,199
- 2,003
Habari wanajamvi,
Tunaomba serikali ya awamu ya sita, chama tawala CCM, wanarorya wote, na mashirika yote ya kupigania haki za kibidmu yaliyo nchini, yatusaidie sisi wananchi masikini wa nchi hii waishio Utegi-Rorya.
Msaada tunaomba kwenu ni kutusaidia kupaza sauti, ili Rais wa JMT mwanamama Dr. Samia Suluhu Hassan haweze kuingilia kati hili suala linaloendelea Utegi Farm,
raia tunaomba tuachiwe Utegi Farm, leo hii tunaishi kwa wasiwasi bila hatima yetu sisi wananchi tunaoishi karibu na Utegi Farm.
Utegi Farm isiuzwe, raia tunachwe tuishi kama tulivyokuwa tunaishi tangu nchi ipate uhuru 1961. unaondoa wananchi kutoka katika vijiji vyao unawapeleka wapi?, Mama Samia tusaidie kwakweli!!
Tunaomba serikali ya awamu ya sita, chama tawala CCM, wanarorya wote, na mashirika yote ya kupigania haki za kibidmu yaliyo nchini, yatusaidie sisi wananchi masikini wa nchi hii waishio Utegi-Rorya.
Msaada tunaomba kwenu ni kutusaidia kupaza sauti, ili Rais wa JMT mwanamama Dr. Samia Suluhu Hassan haweze kuingilia kati hili suala linaloendelea Utegi Farm,
raia tunaomba tuachiwe Utegi Farm, leo hii tunaishi kwa wasiwasi bila hatima yetu sisi wananchi tunaoishi karibu na Utegi Farm.
Utegi Farm isiuzwe, raia tunachwe tuishi kama tulivyokuwa tunaishi tangu nchi ipate uhuru 1961. unaondoa wananchi kutoka katika vijiji vyao unawapeleka wapi?, Mama Samia tusaidie kwakweli!!