Day 1 gongs
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 513
- 1,052
UmenenaWatajuana wenyewe. Mwisho wa siku maamuzi yao hayaleteni ahueni yeyote kwa raia wa chini kabisa.
Wakimalizana wenyewe kwa wenyewe labda maisha ya raia wa kawaida yatakuwa na afadhali so let the dead bury each other.
IMETULIA BILA WASIWASI....Hutatulia wewe na roho mbaya yako.
Nchi imetulia na amani imetawala.
Wa mchana kabisa....Wachawi wakubwa nyie sukuma gang
Kabisa. !!Usifurahie mambo haya...Ombea nchi yako...Nobody is safe if there is no peace!
Karma imeanza Kazi !!Kuna mpasuko hata ndani ya Chama,japo wengi ni ndiyo ndiyo,ila ni unafiki tu
Kweli !!Duh wewe jamaa unaumia Toka Kijiji gani,hakuna sehemu ambayo kuna watawala na watawaliwa kukawa shwari,lazima kuwe na makundi matatu,wanaokukubali,wanaokupinga na wasio na uelekeo,hat hayati JPM Hali hii ilikuwepo Tena kwa kiasi kikubwa sana.
Kwahiyo hakuna jipya kwa ulichokiandika,maana hata shuleni kwangu tupo makundi matatu,yanayomkubali mkuu was shule,yanayompinga na wale bendera fuata upepo,Sasa kama ka taasisi kadogo kenye watu almost 400 kanakuwa na makundi
,Ni vipi taasisi ya urais ikose kitu kama hicho? Kwani maamuzi ya rais humiza na kufurahisha .
Inadaiwa hii ni akaunti ya Kalemani aliyekuwa Waziri wa Nishati kabla ya Januari Makamba. Tulieni SAMIA afanye kazi, nchi Iko mikono salamaUnapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.
Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.
Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.
Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.
Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.
Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Ewaaaaah !! Hapo ndipo panaposubiriwa kwa hamu !!Inadaiwa hii ni akaunti ya Kalemani aliyekuwa Waziri wa Nishati kabla ya Januari Makamba. Tulieni SAMIA afanye kazi, nchi Iko mikono salama
Chuki zako kwa serikali ya awamu ya sita zitakuja kukuua!
Kila siku unaitakia mabaya. Hata hivyo,kwa jinsi mh rais Samia alivyoippnya nchi na kuleta maendeleo makubwa katika kipindi kifupi.. watanzania wamemuelewa!
Kila sekta inapaa. Mapato ya Kodi yamevunja rekodi mwezi Desemba..bilioni 2,700!
Hata JK tulimshauri hivi hivi kwamba kama anataka aache kitu cha kukumbukwa kizazi na kizazi ahakikishe Katiba mpya inapatikana ! Lakini kilichotokea ni Abracadabra !! Katiba mpya Ziiii ! Tusubiri tuone na ya sasa !Japo CCM Ile ILe na mambo yake ya ovyo
Ila Samia ana nafuu maradufu kuliko mZiLaNkeNdE Muyago. A.k.a Jiwe.
Akihakikisha katiba Mpya inapatoka atakuwa the Best president ever to sit kama ambavyo abrahamu Lincoln anakumbukwa na wamarekani .
Acha mawazo ya kufikirika, ombea amani na mshikamano, we need our peace!
Waache wamvuruge mpemba akasirike atuachie katiba mpya ambayo wao hawataki kuisikia.
Mama Hana cha kupoteza, wanawake tunaridhika mapema sana, kashakua Rais, Hadi hapo CV imejitosheleza.hana makando kando tuseme atang'ang'ania madaraka Ili kulinda interest zake.....
Haters kina Suzy endeleeni kumvuruga apate Moto aachie katiba, ndo mtajua nyie na yeye nani atapoteza!
Msiogope mabadiliko Kwani ni jambo la kawaida na studies zinaonesha hupelekea better improvement in performance.
"BUT NOT NOW AGAIN"!!!!??????
Hakuna kundi lenye nchi zaidi ya rais.na hakutatokea ndani ya CCM mtu mwenye nguvu,pesa na ushawishi Kama Edward ngoyai Lowasa nn kilitokea ndio ujue hizo kura unazosema zilipigwa kwa wingi waliamua kuziacha Kama zilivyo kwani mwenyekiti angeamua kubadilisha alikuwa anashindwa fikiria Mara mbiliNaona kuna makundi mawili ndani ya CCM yako mitandani, kule field napo ni kama nayaona hasa nikizingatia upigaji wa zile kura za NEC ulivyokwenda, na sura za wale waliopata kura nyingi.
Swali la kujiuliza hapa ni kwamba, huu mvurugano wao huko CCM utaendelea mpaka lini? na kama ukifika wakati wa kufanya maamuzi mazito kwa chama chao, huu mvurugano unaweza kuwa na impact itakayosababisha kubadili taswira ya uongozi wa CCM, na serikali yake mbele ya safari?
Au huu mvurugano mwisho wa siku utaishia kumezwa na nguvu ya mwenyekiti kama ilivyo thibitika mara kadhaa?
Ukweli ni kwamba, kama hili kundi linalolalamika mitandaoni, ambalo kiuhalisia linaonekana kuwa na nguvu ya ushawishi mpaka kwenye vikao vyao vya maamuzi [ kupiga kura] litajipanga vyema basi kuna jambo zito linaloweza kutokea kwenye siasa zetu kuelekea 2025, ambalo litaweka historia..
Lets wait & see.!!