Utawala wa Wataliban Afghanistan

Utawala wa Wataliban Afghanistan

Huku mtu mkononi anashika simu huko bunduki. Aiseee
 
Usije kushangaa Mission not yet completed.
Kilichofanyika ni kuwaadaa Wanamgambo ili watoke mafichoni na kujifariji na madaraka makubwa then waangamizwe wote.
Wanaofahamu hiyo mbinu wanazidi kuondoka Kabul kwa maelfu.
Let wait and see.
Marekani ndiyo iko behind the scene. Ilikuwa imewafundisha na kuwafadhili na kuwalipa wanajeshi na raia kibao kwa miaka almost 20 walizokaa Afghanistan, wakijua baada ya kuwatoa wanajeshi na maafisa wao, basi wale wangeuana wao kwa wao.

But kitendo cha Rais na serikali ya Afghanistan kuangushwa kirahisi mapema na wanamgambo wa Taliban ni ushahidi tosha kwamba mbinu za hila ya Marekani zimeshajulikana kote ulimwenguni na zimetibuka na kubuma.
 
hivi kwa nini waarabu silaha zao kuu huwa ni haya ma rpg na ak-47 yaani haya makitu huwezi kuyakosa kwa waarabu wawapo vitani ...huwa najiuliza sn mbn kuna silaha nyingi tu za kisasa zaidi kuliko hayo machuma chuma
Daah kijana fanya uchunguzi tena wa silaha hatari za kivita kuhusu rpg na AK 47 .
 
official_mtani_1629297266901.jpg
 
Kuna mwalimu mmoja Songea Boys walikua wanamuita Mtaleban, sahivi ndio naanza kuelewa kwanini.
Watoto wa miaka ya 2000 hamuwezi kuelewa wataliban tuliosoma shule miaka ya90 miaka ya 94-2001 walipofurumushwa na wamarekani ndo tunajua taliban ni kina nani enzi za akina Mullar Muhamad Omary achana na hao viumbe
 
hivi kwa nini waarabu silaha zao kuu huwa ni haya ma rpg na ak-47 yaani haya makitu huwezi kuyakosa kwa waarabu wawapo vitani ...huwa najiuliza sn mbn kuna silaha nyingi tu za kisasa zaidi kuliko hayo machuma chuma
AK-47 hata aliyeibuni na kuitengeneza anajuta hadi anakufa,this kind of machine is easy to use, easy to repair, and reliable
 
hivi kwa nini waarabu silaha zao kuu huwa ni haya ma rpg na ak-47 yaani haya makitu huwezi kuyakosa kwa waarabu wawapo vitani ...huwa najiuliza sn mbn kuna silaha nyingi tu za kisasa zaidi kuliko hayo machuma chuma
Ak47 na SMG ni silaha nyepesi
Na ni rahisi kuzitumia kwa infantry soldier(askari watembea kwa miguu).
 
Back
Top Bottom