Alikuwa katili?Kuna mwalimu mmoja Songea Boys walikua wanamuita Mtaleban, sahivi ndio naanza kuelewa kwanini.
Akili yako inafanana na avatar yakoJamaa kabla ya vita haijaisha kakusanya mbunye za kutosha anapeleka geto.View attachment 1896280
Marekani ndiyo iko behind the scene. Ilikuwa imewafundisha na kuwafadhili na kuwalipa wanajeshi na raia kibao kwa miaka almost 20 walizokaa Afghanistan, wakijua baada ya kuwatoa wanajeshi na maafisa wao, basi wale wangeuana wao kwa wao.Hawa watu wanapenda sana kuuana halafu wanasingizia Marekani.
Muoto unaoota si wa sayari hiiIGP Siro wakitaleban ikitoa maelezo mikakati mipya ya ulinzi wa raia na mali zao.View attachment 1896287
Lakini Wataleban sio waarabu mkuuhivi kwa nini waarabu silaha zao kuu huwa ni haya ma rpg na ak-47 yaani haya makitu huwezi kuyakosa kwa waarabu wawapo vitani ...huwa najiuliza sn mbn kuna silaha nyingi tu za kisasa zaidi kuliko hayo machuma chuma
Naona unacheza na RPG, Return propeller gun,we ita machuma chumahivi kwa nini waarabu silaha zao kuu huwa ni haya ma rpg na ak-47 yaani haya makitu huwezi kuyakosa kwa waarabu wawapo vitani ...huwa najiuliza sn mbn kuna silaha nyingi tu za kisasa zaidi kuliko hayo machuma chuma
Ni msigwa siyo Sirro wewe acha upotoshajiIGP Siro wakitaleban ikitoa maelezo mikakati mipya ya ulinzi wa raia na mali zao.View attachment 1896287
Upigwe na silaha ya kisasa kwa lipi ? Wanataka upigwe na chuma chenyewe usikie utamu ufe kwa makasirikohivi kwa nini waarabu silaha zao kuu huwa ni haya ma rpg na ak-47 yaani haya makitu huwezi kuyakosa kwa waarabu wawapo vitani ...huwa najiuliza sn mbn kuna silaha nyingi tu za kisasa zaidi kuliko hayo machuma chuma