Utawala wa kikwete wagawanyika

cha msingi wananchi tuandamane tumtoe huyu kenge ******, watanzania sasa tunadharaulika kila kona ya dunia aibu
 
Yaani tungekuwa na rais makini kilichokuwa kinatakiwa kufanywa ni kuwatimua waziri na naibu on the sport kisha uchunguzi unaanza. Ila sasa bahati mbaya ndio hivyo tena...
.
 
Maamuzi magumu ni yeye kujiuzulu kama rafiki yake lowassa alivofanya!!!
 
Huwezi kutumikia mabwana wawili, mshika mbili moja humponyoka. "Ikulu ni mahali patakatifu, hakuna biashara pale, ni mzigo, mtu mwadilifu na anayemwogopa Mungu hakimbilii Ikulu. Unapita njiani unaona watu wanavyotaabika na maisha, hawana chakula, maisha yao duni, uchumi wa nchi unadidimia unaona huu ni mzigo wangu. Ukiona mtu anakimbilia kwenda Ikulu hata kwa kutumia fedha muogope kama ukoma". Huwezi kuwa kiongozi huku unatamani utajiri, ni lazima utashindwa kuongoza na kuwapeleka mahali penye neema wananchi wako. Dosari hii ndiyo inayomtesa Rais wetu, kila siku anatamani awe tajiri kuliko mtanzania yeyote.
Watanzania twapaswa kuwa makini, tuweke wazi ktk katiba ijayo. Rais na viongozi wengine wasihudumiwe kwa pesa za walipa kodi kwa kuwa wanakiuka maadili ya kipengele hicho. Pamoja na umaskini wetu tumesema mtu akishakuwa kiongozi wetu na atakapostaafu tutaendelea kumhudumia yeye na familia yake hadi Mungu atakapomuita, sasa tamaa yote ya nini Kiongozi anajikita kwenye ufisadi anashindwa kutimiza matarajio ya wananchi hadi kuwa na kigugumizi cha kuchukua hatua kwa watendaji wake kwa kufuja mali ya umma. Atachukua vipi hatua wakati yeye ndiye kinara?.
Chande chonde watanzania kipengele hicho kifutwe hakina maana tena, kwa kuwa sasa hivi kila kiongozi ni wizi wizi tuuuuuuuuuuuuuu!. Kuanzia kiongozi wa juu hadi wa chini.
 
Captain22 uchaguzi wa nini? Afukuze tu hao wezi baasiiii.

yeye ndiye kiongozi wa hao wezi. Majambazi hawamfukuzagi wanaetofautiana naye huwa wanamuua ili asijeingia upande wa pili na kuanza kuwamaliza. Sasa jk mwenyewe ni jambazi na mhujumu uchumi wa kwanza. Hao wengine anawatuma mawindoni tu na baadaye anawapa gawio.
 
Last edited by a moderator:
Aitishe uchaguzi mkuu, hilo ndilo shuluhisho. Mbona nchi nyingi duniani mambo yakiwa hovyo serikali huitisha early elections
Uchaguzi mwingine! hawajipendi?
Ile asilimia 60 pamoja na kuiba sasa hivi sidhani kama zitafika asilimia 10.
 
Ni bahati mbaya sana kuwa nchi hii imelazimishwa kuwa na rais bogus kama huyu. Maajabu ya dunia
 
Bt Mna uhakika gani kua uchaguzi ukiitishwa leo na ccm wakaondoka na chama kingine kikiingia hawatakula na wao? mpaka kuja kutoa rushwa kwenye system yetu ya kiuongozi hapa bongo itachukua kama miaka 10..maana rushwa ipo mpaka kwenye vitongoji so hiyo sio kazi ya siku moja regardless of which party is in power rushwa itaendelea for a few years..i can guarantee u that!!

Rushwa kumalizika kabisa haiwezekani lakini inaweza kupunguzwa kama mamlaka husika inataka kufanya hivyo kwa kuwapa uongozi watu ambao hawana kashfa ya rushwa. Haiwezekani kupunguza rushwa wakati unamteua mtu kuwa mkuu wa wilaya ili hali inajulikana kabisa na jamii kuwa mhusika amewahi kukamatwa kwa tuhuma za rushwa; je mtu kama huyo anaweza kuwa na moral authority ya kukemea rushwa? Haya ndio yanayoonekana wilaya ya Hai mkoa wa Kilimajaro ambapo mkuu wa wilaya ile aitwae Sigalla alikamtwa kwa kutoa rushwa huko wilaya ya Makete na huyo huyo sasa ni mkuu wa wilaya, je kuna hakika gani kuwa haindelezi tabia yake ya kushabikia rushwa? Viongozi kama hawa ndio wanaipa sifa mbaya serikali ya Kikwete mbele ya wananchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom