Utawala TRA, uhakiki huu ni unyanyasaji

Utawala TRA, uhakiki huu ni unyanyasaji

Kama unazijua vizuri sheria na sio mbabaishaji ni rahisi kuliona kosa lakini kama ni walewale wasio elewa kitu ila wanajifanya wajuaji kweli huwezi ona kosa lakin tambua hapo ni ndani ya ofisi za serikali na mpigaji picha sidhan kama anakibali maalum cha kufanya hivyo achilia mbali hao walio tokea kwenye picha na kupostiwa bila ridhaa yao ambalo nalo ni kosa lingine.
Wewe watishie wasiojua, wanapiga picha ofisi ya Trump na yeye akiwa ndani, wewe vipi? Hiyo ni ofisi ya umma sio serikali. Kwahiyo unazani sifa kuwakalisha watu kwenye mstari siku 10? Eti tutakushtaki kawatishie wanao.
 
Kama unazijua vizuri sheria na sio mbabaishaji ni rahisi kuliona kosa lakini kama ni walewale wasio elewa kitu ila wanajifanya wajuaji kweli huwezi ona kosa lakin tambua hapo ni ndani ya ofisi za serikali na mpigaji picha sidhan kama anakibali maalum cha kufanya hivyo achilia mbali hao walio tokea kwenye picha na kupostiwa bila ridhaa yao ambalo nalo ni kosa lingine.
Kwa taarifa yako hapo si ndani ya ofisi, ni NJE ya ofisi na hao watu wako NJE ya ofisi.
Huo mlango huuoni?
Foleni hiyo iko kwenye korido hadi barabarani.
At any rate kero hii ni ya kuwagutua ninyi mlio katika business as usual.
 
Mkuu jaribu kufikiri kisasa.
Mimi nimejiunga hadi na mitandao kama ya Paypal ambayo ni secure, na kuna mitandao mingi sana ambayo ina security clearances, imachukua dakika chache tu ku process.

Tatizo kubwa la wasomi wetu ni kutokuwa wabunifu.
They are still attached to pen and paper.
Nchi jirani tu ya Rwanda haifanyi mambo kizamani kama sisi.
People should learn to think forward na hii digital technology.
Hayo unayosema nakubaliana nayo kabisa!! Ila na sisi tujaribu kubadilika tuache kuwa tunasubilia dakika za mwisho ndio tujitokeze kwa kila zoezu.
 
Watanzania kazi ni kulalamika tu kila kukicha.

Zoezi hilo liliongezewa muda mkaendelea kulala sasa hivi mnalalamika.

Isomeni namba ili mjifunze. Yangu nilishaipata long time.

Huwa sitaki usumbufu wa kujitakia.
 
Kwa taarifa yako hapo si ndani ya ofisi, ni NJE ya ofisi na hao watu wako NJE ya ofisi.
Huo mlango huuoni?
Foleni hiyo iko kwenye korido hadi barabarani.
At any rate kero hii ni ya kuwagutua ninyi mlio katika business as usual.
Watu tumetangaziwa kuhakiki TIN tangu mwaka jana mapema bado watu wa nchi hii kama kawaida yetu tunalalamika! Tatizo letu siku zote tunasubiri siku za mwisho! Hili sio tatizo la TRA kabisa. Huu ni uzembe wetu tunaohakiki TIN na sio wafanyakazi wa TRA.
 
Ila akili ni kuongeza muda ili watu wasiende holidays?....sie miswahili tuna tabu shida na kero mpaka trump anatamani tungeondolewa duniani ..... mijitu hatujui hata umuhimu wa holidays season.
Kwani ilihitaji mwezi mzima ili uipate?
Na hao TRA hawataki holiday????

Acheni kujishebedua.
Ulienda likizo sasa simama wiki nzima ukiifuatilia Tin
 
Pamoja na malalamiko yako lakini kikubwa hapo ulicho kosea na ni makosa makubwa ni kupost picha mtandaoni bila ridhaa yetu ndugu hayo si matumizi sahihi ya mtandao mambo yanaweza kukugeukia hata kama lengo lako lilikuwa konesha umma hiyo foleni hapo , usidhan wote watashudhulika na foleni hiyo, na kwa hiyo location ya hiyo picha ilivyo pigwa nimesha fahamu ni nani wewe,

Mkuu mbona unamtisha Jidu? Kikubwa changamoto iwe addressed!
 
Kwanini mmesubiri deadline Ndio mwende Tra kuhakiki TIN? Hiyo foleni Ndiyo adhabu yenu, Yani wabongo sijui tutabadilika lini [emoji87] kwanza mnasababisha maofisa wa Watu kuwa over used! Shindeni tu huko Tra yamkini itawapelekea kubadilika! Wale walio na nidhamu binafsi walisha hakiki Siku nyingi sasa hivi wanafanya mambo Yao mengine! Hakuna sababu ya kuilaumu Tra ktk hili swala la uhakiki! Tena sizani Kama wata ongeza muda sasa hivi huduma pengine itahamia mikoani! Yani Kwa hili nimeshangaa sana Watu kujazana wakati wa deadline! Eti ooh Niko busy sasa at this deadline ubize ndo umeisha? I am sorry to say that!
 
Pamoja na malalamiko yako lakini kikubwa hapo ulicho kosea na ni makosa makubwa ni kupost picha mtandaoni bila ridhaa yetu ndugu hayo si matumizi sahihi ya mtandao mambo yanaweza kukugeukia hata kama lengo lako lilikuwa konesha umma hiyo foleni hapo , usidhan wote watashudhulika na foleni hiyo, na kwa hiyo location ya hiyo picha ilivyo pigwa nimesha fahamu ni nani wewe,
Unatumia kifungu gani cha sheria za nchi hii! Wote unaowaona katika magazeti na TV wametoa ridhaa zao?! Tueleze ukweli na wewe ni mmoja wa waliopo katika picha hizo?
 
Mimi nimeahirisha kuhakiki kwa sasa kwa kweli toka December najaribu lakini foleni inanishinda pamoja na kwamba TIN yangu sio ya biashara
 
Hayo unayosema nakubaliana nayo kabisa!! Ila na sisi tujaribu kubadilika tuache kuwa tunasubilia dakika za mwisho ndio tujitokeze kwa kila zoezu.
Dakika za mwisho una maana gani, hakuna siku TRA itaacha kutoa TIN wala hakuna siku itaacha kuhakiki TIN, watu wanakufa, watu wanazaliwa. Sasa tumejenga kasumba ya suala la usaihili wa ajira mnafananaisha na kuhakiki walipa kodi, ok kuhakiki mwisho je wanaonazisha biashara mpya nao mwisho au?
 
hivi TRA mbona wanazidi kufanya maisha kuwa magumu, kwa mtindo huu wa kuwawekea vikwazo walipa kodi hiyo kodi wataikusanyaje? pia information wanazozitaka, 1. TRA wenyewe, nyingi wanazo (wakati wa kuchukua leseni ya udereva/TIN ya zamani)
2. NIDA wanazo,
3. RITA wanazo
4. Tume ya Uchaguzi wanazo.
5. Uhamiaji wanazo (kwa wenye passport),
** Kwa maoni yangu ni kupoteza muda wa watu badala ya kufanya kazi kutwa wakashinde hapo TRA.
Kwa mfano mtu ambaye tayari anamiliki leseni, maana yake finger print ilichukuliwa leo eti unarudia tena kitu hichohicho
 
Mkuu TRA walipoongeza muda watu waliacha kwenda,kwa mfano mwezi wa 12 mzima na mwanzoni mwa jan 2017 kulikuwa na watu wachache sana ,ila ilipofika tarehe 20 jan 2017 watu wakakumbuka kuwa muda umeisha na ndio yanayotokea sasa .
Ukipita kijitonyama saa 12 asubuhi utashangaa hayo magari na watu waliokwisha fika hapo.

Tuache tabia ya kufanya kitu wakati muda ukiwa umebaki mdogo.
Hivi muda kwisha maana yake ni nini kwa mfano? Yaani mlipa kodi awekewe limit ya muda ili iweje. Kuna watu wanasafiri nje ya nchi kwa zaidi ya miez miwili, hao wafanyaje? Kuna mtu anataka TIN kwa mara ya kwanza, nae afanye nini?
 
Dakika za mwisho una maana gani, hakuna siku TRA itaacha kutoa TIN wala hakuna siku itaacha kuhakiki TIN, watu wanakufa, watu wanazaliwa. Sasa tumejenga kasumba ya suala la usaihili wa ajira mnafananaisha na kuhakiki walipa kodi, ok kuhakiki mwisho je wanaonazisha biashara mpya nao mwisho au?
Lini zoezi la kuhakiki TIN lilishawahi fanyika? Huwezi ukawa na wafanyabiasha waliojiandikiasha laki tano lakini TIN laki moja tu ndio zinaonekana zinafanya biashara kwa kulipa mapato serikalini je nyingine ziko wapi?? Kwa kupitia zoezi hili ndio wanawafuta watu ambao wana miliki tin lakini hawazifanyii biashara. Na ndio maana hata kimuonekano hizi mpya ni tofauti na za zamani, kwani ukifungua biashara mpya si utapewa TIN kama kawaida? Kwani ki utaratibu unaposhindwa biashara kutokana na sababu mbalimbali ni lazima utoe taarifa ya barua kuwa umeshindwa biashara ili hiyo namba ya mlipa kodi iweze kufungwa, sasa watu wengi hawafanyi hivyo yeye anaamua kuacha tu biashara kienyeji bila kutoa taarifa yoyote sehemu husika!! Ambalo ni kosa na mwisho wa siku hayo malimbikizo ya kodi itabidi uyalipe tu, sasa kwa kupitia hili zoezi ndio namna ya kuwaondoka kabisa kwenye mfumo wa kodi, za biashara.Na watu kama nyie ndio mnaoleta usumbufu eti dk za mwisho ni zipi kwani wangetoa dead line kuwa mwisho ni 30.1.2017 kw dsm? Tofautisha kuhakiki na kutoa TIN mpya. Utahakikiwa bila kuwa na TIN??? Hayo ni mazoezi mawili tofauti hadi leo mbona wafanyabiashara wapya wanasajiliwa?
 
Back
Top Bottom