Utavumiliaje penzi hili?

...hapo hakuna njia ila kuendelea kujitibu na 'tiba mbadala...'

...haya mambo magumu sana kuyahukumu kwani muathirika ni wewe,
nikisema uoe mke wa pili utaniambia imani haikuruhusu, nikikwambia uache
utamkwaza mke wako na vionjo vya sinema...

Wazee wa jukwaa hili wanasema cheat responsibly.
 
Mpwa siwezi kukupa pole nitakua mnafiki ila naomba tukubaliane au tukubaliane kutokukubaliana kuwa wewe ni mzinzi na sasa unataka u-justify uzinzi wako kwa udhaifu wa mkeo kama an excuse!!! Hata ukicheki hisia zako ktk uandishi wako unaashiria kabisa kuwa umeshamkubali sana huyo MALAYA huko nje. Jambo la maana ni kwamba wewe umeepuka kasumba ya "RAFIKI YANGU AU NDUGU YANGU" umeweza kujitaja wewe mwenyewe! Ok, mwogope Mungu na ionee huruma familia yako the moment utakapokufa kwa AIDS, Mungu akutie nguvu
 
...hapo hakuna njia ila kuendelea kujitibu na 'tiba mbadala...'

...haya mambo magumu sana kuyahukumu kwani muathirika ni wewe,
nikisema uoe mke wa pili utaniambia imani haikuruhusu, nikikwambia uache
utamkwaza mke wako na vionjo vya sinema...

Wazee wa jukwaa hili wanasema cheat responsibly.

Mbu, huyu dogo ana tatizo la kuwa too much polite. Huko anakocheat anadhan anaenjoy, lkn kumbe kinapendwa mshahara wake mzur. siku c nyingi atakuja na uzi wa kutendwa na nyumba ndogo. Aonyeshe uanaume wake ndani ya ndoa yake, asitishwe na mistari.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tatazo lako ni kwamba hujawahi kumchallenge mkeo. Akishakwambia biblia inasema hivi unanyamaza tu, na yeye hahangaiki zaidi ya hapo kwasababu anaamini ameshakuweka kiganjani.But I know what you can do. .

Kama unataka kutengeneza mahusiano mazuri na mkeo kwanza achana na huyo binti wa pembeni alafu rudi kwa mkeo. Ukisharudi tumia biblia hiyo hiyo kumuonyesha kwamba wewe kama mume wake mnatakiwa mridhishane na hairuhusiwi kunyimana (mistari ipo kama unaitaka sema), umuulize wapi biblia inakataza oral sex (hamna). . . . kuna vifungu vingi ambavyo vinaweza vikabadili msimamo na mtazamo wake kuhusu swala zima la ndoa kama kweli anaiamini biblia na sio anatumia kukukomoa.

Kuhusu nepi kama hupendi kweli anavyofanya onyesha msisitizo. . . amka wewe, ichukue upeleke huko bafuni. Huwezi kumwelewesha mtu hupendi uchafu ilhali akiutupa na wewe unauangalia tu. Kuwa mfano kwake, badilika wewe ili aone tofauti pale inapowekwa bafuni na urahisi wa kuipeleke. Sio unalalamika tu bila kuwa msaada.

Lizzy, umeandika vema sana, kwenye hilo la usafi siongezi kitu, nitasisitiza tu, kuhusu jamaa kunyonywa, y yeye! alishajaribu kuonja chumvi ya utamu!

Huko anakodhani kuna amani ya ngono, si salama, arudi ndani na aact u mume na amwambie mwenzie yu mke
 
Mbu, huyu dogo ana tatizo la kuwa too much polite. Huko anakocheat anadhan anaenjoy, lkn kumbe kinapendwa mshahara wake mzur. siku c nyingi atakuja na uzi wa kutendwa na nyumba ndogo. Aonyeshe uanaume wake ndani ya ndoa yake, asitishwe na mistari.

...lol,...amejielezea kwa kirefu sana kinachomsibu kwenye ndoa yake, na sina shaka anajua
erogenous zones za 'mwanamke' ila mkewe hampi nafasi!....

...ila kwa nyumba ndogo 'mashambulizi' ni mpaka mwisho wa mchezo kiasi cha jamaa ku admit hapa hata akirudi kwa mkewe sasa anamuona kama kivuli tu.

...hii kesi ni nzito kidogo, unless kina dada mumsaidie huyu mwanamke mwenzenu anayeibomoa nyumba yake
kwa kudhani tendo la ndoa ni kutengeneza mtoto pekee.
 
Pole sana mpendwa kwa hayo yaliyokuta, kama kweli bado unampenda mkeo tafadhari achana na huyo mdada then rudi ukaimarishe ndoa yako kwan mapungufu aliyo nayo mkeo ni mambo ambayo yanalekebishika kama swala la kutokuwa mbunifu kitandan we endelea kumfundisha wala usikate tamaa atakuja kuzoea we endelea kuleta hizo movie weka hata kama hataki kuangalia na khs suala la usafi jitahidi kumpeleka taratibu atakuelewa ukimwambia mara ya kwanza ukaona hajanyanyuka nyanyuka mwenyewe utoe, ukifanya kila mara ye mwenyewe ataöna aibu na hakika utayaöna mabadiliko, kila la kheri ktk ndoa yako
 
kuwa muwazi na Mwambie mkeo unaongeza mke wa pili kwakuwa yeye hakutimizii baadhi ya mambo na unadhani kuwa mke wa pili atayatimiza. All the best!
 
Huu ndo upole usio na maana ndoani, na mwisho wake ni kwenda nje ya ndoa.

upole upi Tuko?.i told the guy to be a man,amwambie ukweli au ulitaka nimwambie aendelee kumvunjia heshima wife nje?
 
Mi naona suluhisho kamili lingetokana na mke wako pekee, jaribio la kutafuta hifadhi nje ya nyumba yako hiyo ni zinaa ambayo ukiiendekeza utamaliza mabucha kibao halafu mwisho utagundua kuwa Nyama ni ileile. Hebu jaribu kuvunja ukimya kwa kuzungumza na mkeo ktk masuala ambayo yataleta furaha ktk ndoa yenu.
 
loh! Tatizo mkeo hayuko tayari kujifunza.
Mvivu na mchafu, utatupaje nepi yenye haja chini ya uvunguni?

Mtafutie wamama watu wazima waongee na mkeo!

Swala la nyumba ndogo sijui nikushaurije maana naona mkeo asipobadili tabia hutoweza iacha kirahisi!
 
ndoa ni ngumu bro. umesema hakua anajua lolote, ni wajibu wako wewe kumfanya ajue. sina shaka umemkuta akiwa na uzi wake, safari ni ndeefu. huyo anayekuridhisha naye amefundishwa. mkeo ni bora zaiidi kuliko huyo. kama hakuelewi wako wakubwa ( shangazi, bibi nk) watakusaidia.
 
Dogo, be man in your house. Haya mambo ya nyumba ndogo tulishatest sn wengine tumegundua mdomoni ni matamu kama asali, lakin tumboni ni machungu tena yana7bisha kansa. Unachokitaka kwa mkeo ni haki yako, so usimbembeleze, TUMIA NGUVU. Mkunje utakavyo, mlaze utakavyo, mnyonye utakako, mkojolee upendapo. Mwanzoni atakuona strange, but ndo namna ya kumshape, baadae atakuwa mtaalamu. Kati ya vitu ambavyo havi7bishi ugomvi ndoani ni maumivu ya kusex. Atalia wkt mnaduu, lakini kesho yake atakuwa anakuheshim na kukuona mwanaume wa ukweli. Kutafuta mwanamke nje eti kwa 7bu huridhishwi na mkeo ni uzaifu na aibu. We k unayo hapo ndani unashindwa kuitumia kwa7bu ya ulokole. Na nakuhakikishia siku mkeo akihisi unaenda nje atagawa nje nae, huko atakutana na libazazi, litamkunja kama 0, na tigo litakamua. sasa hapo utaona mkeo atakavyokuzarau! Kuhusu usafi kama ushamwambia hafanyi, ni kuwa hajafunzwa kwao. Mtembezee makofi mara moja moja, atajifunza.

hahahaha, Dah sipati picha jamaa ikichukua ushauri wako jinsi ulivyo na kuufanyia kazi!!
 
Pole..anza kwa kumuacha wa pili,.then be ROMANTIC for the start,take her pahali hajawahi fika,ongea nae and tell her what you feel and what the bible has not said regarding anachosema...Be SENSITIVE,usitake awe wild and aggresive haraka,be a practical and considerate teacher,mfanye awe comfortable nawe..trust me unaeza kumbadlisha..na atakua anacheza na rules zako plus atajitahidi kujua zaidi..be THE MAN!

Nimeipenda hii zaidi!
Ila kuhusu uchafu, nadhani unapaswa kuwa strict zaidi! umwambie hupendi anavyofanya kwa maneno na matendo.
 
Nimeipenda hii zaidi!
Ila kuhusu uchafu, nadhani unapaswa kuwa strict zaidi! umwambie hupendi anavyofanya kwa maneno na matendo.

Asante bob lee,nakubaliana nawe pia kuhusu uchafu,he has to really be strict ikibidi..my main point is,hakuna kitu nzuri like your own art work,.akifanikiwa kumueka mkewe in the ryt track and mke awe expert,he will be looking back akisema,'i did this,and atakua proud..or atleast,he tried his best..
 
matatizo ndo hayo sasa mlioanaje bila kujuanan ki undani hasa kunako 6 kwa 6???????????
 
mkuu hebu soma nkitabu cha TUNDA LILILOJEMA ndani ya bible hakika mkeo hatakataa chochote kile unachotaka
 
...hapo hakuna njia ila kuendelea kujitibu na 'tiba mbadala...'

...haya mambo magumu sana kuyahukumu kwani muathirika ni wewe,
nikisema uoe mke wa pili utaniambia imani haikuruhusu, nikikwambia uache
utamkwaza mke wako na vionjo vya sinema...

Wazee wa jukwaa hili wanasema cheat responsibly.

Hii stage keshapita kaka,

Inawafaa watu amabao wanafuata kanunii za The Boss to the letters....

Huye keshapata hata mama mkwe...atajitoaje huko kwa small house??

Babu DC!
 
Pengine kwao ni wacha mungu sana so suala zima la kufundwa kuhusiana na habari za kitandani hakupewa....ila uchafu ni hulka yake,inaelekea hata chupi anarudia huyu mkeo.

Kwakuwa umeshindwa kumkalisha chini na kumueleza juu ya kile unachopenda ukiwa nae faragha au kwa namna moja au nyingine ameshindwa kukuelewa....atakuwa anahitaji wamama wafundaji,wamfunde hapo hapo nyumbani kwake.Wale wanajua ku-present message inayotakiwa labda wewe umeshindwa kujieleza kwake..

Kuna mama mmoja ndio kazi yake,anaitwa Mama shughuli anaishi kinondoni. Number zake ni 0719 952114.. Pengine akakusaidia kuhusiana na tatizo la mkeo.
 
Yani dogo sijui niseme nini, unacho chakula cha nyumbani unaenda kula cha mama ntilie.


Pole sana.
 
Back
Top Bottom