Jamani mie nashindwa kuelewa; mtu unaunga bajeti mkono mia kwa mia pamoja na utititiri wa malalamiko na ukosoaji wa bajeti.
Je hii ndiyo kanuni ama ndio utaratibu?
Ingebidi kila mbunge aliyelalamikia bajeti hata kipengele kimoja basi apunguze asilimia na kuwe na data. Inaelekea hata rekodi hamna bunge linapelekwa pelekwa tu na kuendeshwa kienyeji.
huwezi kulalama na kukosoa halafu ukatoa maksi 100%:embarrassed:
Je hii ndiyo kanuni ama ndio utaratibu?
Ingebidi kila mbunge aliyelalamikia bajeti hata kipengele kimoja basi apunguze asilimia na kuwe na data. Inaelekea hata rekodi hamna bunge linapelekwa pelekwa tu na kuendeshwa kienyeji.
huwezi kulalama na kukosoa halafu ukatoa maksi 100%:embarrassed: