Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Unachosahau Magu alikuwa Waziri wa ujenzi,Kijazi alikuwa katibu na Mfugale alikuwa mkurugenzi wa TANROADSBarabara ya Jet corner hadi Davis corner na ile ya kutoka Mbezi hadi Goba zote zilijengwa wakati wa Kikwete tafuteni barabara nyingine alizojenga sio kumpa sifa za mwingine.