johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,898
Nimepita kwa daladala kutoka Temeke - Lumo jet - Kinyerezi hadi Mbezi mwisho stendi ya mkoa lami tupu sijagusa vumbi.
Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.
Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.
Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!
Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.
Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.
Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!