Utatu wa Dkt. Magufuli, Eng. Kijazi na Eng. Mfugale katika ujenzi wa barabara nchi nzima tutaukumbuka milele

Kweli kabisa, hizo barabara zilijengwa na Kikwete. Mzee Kikwete watu wamemu-underate sana. Kafanya mambo makubwa sana yule mzee nadhani ndio kiongozi bora kiutawala baada ya Mwalimu

Tuangalie sekta moja ya afya ambapo Muhimbili ilijengwa na mkoloni almost 50% ya majengo yaliyopo pale. Alikuja Mwalimu akaongeza baadhi machache, Ruksa hakufanya chochote, Mkapa alikarabati miundombinu iliyopo ila akuongeza.

JK alijenga JKCI, New OPD, MOI na Mloganzila
Kwenye barabara za mikoa JK ndiye aliyeunganisha nchi yote kwa barabara. Amejenga airport mpya, mradi wa mwendokasi, mradi wa ubungo flyover (alianza yeye) na mingine mipya. Through JK nchi iliingia uchumi wa kati wa chini
Nitamkumbuka na kumuenzi daima JK na katika utawala wake ndipo hata maeneo mengi ya jiji yaliendelea baada ya watu kuwa njema kiuchumi kama Madale, Malamba Mawili, Goba, Bunju, Kigamboni, Mabwepande, Kongowe ya Dar, Chamanzi n.k
Sio jiji tu mikoani huku watu walijenga sana kipindi cha jk.jk kichwa kile
 
Nife nikiwa nimewatendea mazuri watu hilo ndo jambo jema. Sasa jpm kila kona ya nchi ilikuwa vilio. Mazao aliua karibu yote mbaazi, korosho, tumbaku nk kisa ubabe wake. Biashara aliua kabisa na akabaki anatwambia matakwimu ya uongo eti uchumi unakua, utakuaje kiala kila kinakifu!!

Ndo mana siku ya kifo chake watu walichinja mbuzi nk. Vikana ndo usiseme ajira zote zimepigwa pini sasa hivi samia ndo anajaribu kifufua
Wewe akili yako ni ndogo.
 
Sio jiji tu mikoani huku watu walijenga sana kipindi cha jk.jk kichwa kile
Aliweza sana kubalance uchumi. Yaani watu walikuwa nazo na maendeleo ya vitu yalikuwepo. Sidhani kama tutapata Rais kama Kikwete katika maisha tuliyobakiza
 
Kwenye biashara hapo ninakukatalia..Tena nitakusamehe kwa kutokujua km ww sio mfanya biashara
 
Magufuli alikuwa ana hulka ya kupenda sifa sifa sn mfano mdogo tu AIR PORT Terminal 3 alikuta umesha jengwa kwa asilimia karibu 90% akaleta misifa yake ya kutaka kuonekana ule mradi wote na hela zilizotumika pale ni wizi ulikuwa kwahiyo akaja na DRAMA zake ili aonekane kausimamia na kajenga yeye.

Hivi MIRADI aliyejenga JK yote NCHI nzima unaweza mlinganisha na MAGUFULI kweli kweli WATANZANIA wengi wamerogwa, hivi ule mradi wa UDOM pale kama MAGUFULI ndiye angekuwa amejenga yeye kile CHUO naona wangeshauri kibadilishwa jina na kuitwa MAGUFULI UNIVERSITY sijui inge kuwaje kwa kweli.
 
Nimepita kwa daladala kutoka Temeke - Lumo jet - Kinyerezi hadi Mbezi mwisho stendi ya mkoa lami tupu sijagusa vumbi.

Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.

Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.

Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!
ulikuwa ni utatu wa uchapaji hela chini ya kivuli cha hapa kazi tu.
 
Barabara ya Jet corner hadi Davis corner na ile ya kutoka Mbezi hadi Goba zote zilijengwa wakati wa Kikwete tafuteni barabara nyingine alizojenga sio kumpa sifa za mwingine.
Waziri akiwa nani vile? Nani aliyetoa ahadi ya tutaendesha taxi kutoka Bukoba mpaka Mtwara? Wakati huo nadhani ulikuwa nursery si kosa lako....Magufuli alianza kuiongoza nchi hii tangu 1995 na katika viti ambavyo tunajivunia navyo ni hivyo vya kwake kwani mawaziri wengine hawakuwepo? Kwanini hakuna kitu cha kujivunia kutoka kwao? Kwanini iwe barabara tu?
 
Back
Top Bottom