Utata wa transcript za UDOM na madudu yake yote

Tukisema UDOM ni chuo cha kata kama zilivyo shule za kata wanakataa, ni chuo kilichoharakishwa kujengwa Kwa sababu tu za kisiasa so itatake time kidogo matatizo kama hayo kuisha, ndo maana aliyemaliza chuo Mwenye chuo hicho wanasota sana kipata kazi maana taasisi nyingi sasa hivi hazina kabisa imani na chuo hicho labda baada ya miaka kadhaa
Taasisi zipi mkuu?, labda hauna uelewa na soko la ajira.
Kwa ujumla graduates wa vyuo vyote Tz wanafanana tu., kama kuna tofauti ni ndogo sana na zinatokana na juhudi binafsi za mhitimu.
 
Wadua napenda kuwasilisha mada.

UDOM ni chuo ambacho mambo yake ni ya kienyeji sana.

Kuna tatizo la transcripts kukosewa hasa katika chuo cha afya.

Mtu amemaliza mwaka mmoja uliopita but transcripts ni hovyo kwani kuna sehemu zinakuwa either hazionyeshi majibu au zinaonyesha kuwa mtu alifeli somo husika wakati na supplimentary alishafanya na kuonyesha kuwa amefauli.

Sas tabu inakuja katika urekebishaji wa hizi transcripts ndio ujinga mtupu
Kwanza utaratibu ni mrefu kwa wasiopenda rushwa lakini watu wa information system wameshaona n sehemu ya kupigia fedha yaani ni rushwa tupu imejaa.

Yani waweza hata kurekebishiwa bila kufuata utaratibu ili mradu utoe rushwa
Wale wsiotoa rushwa watasota sana mpaka inakuwa kero.

Ni kwa hayo tu kwa leo.

Mm Anti-UDOM
Mmmh mbona sisi tuliomaliza EARTH SCIENCES hatukuwah kupata tatizo hilo hata mara moja,
 
I am an academician I ought to speak from the angle of an academician. Newafanyisha interview wengi, it is pathetic
Hv Tanzania hii nayo kuna chuo cha kumcheka mwenzake ,kwa lipi la maana zaidi ya jina.
Nikianza na ww unayejiita academician,
Tuna vyuo vikuukuu,vinginevyo vyote sawa tu .
 
I am an academician I ought to speak from the angle of an academician. Newafanyisha interview wengi, it is pathetic
Mbona mwaka Juzi mdogo wangu kahitimu pale alikuwa anasoma sheria na yuko vizuri sana.

Baada ya kumaliza hajakaa hata miezi 6 kapata kazi na kuwaacha walisoma vyuo vinavyoaminika?

Na juzi tu kaenda law school akatoka first sitting so sasa hivi ni wakali mzuri tu.
 
Uongozi wa UDOM inabid ufumuliwe wote sbb hawa jamaa wanaviburi hakuna mfano.
Wamefanya chuo km chao. Nilishasoma hapo nakijua vizuri sana, na wale suma wao, wajinga sana
 
I am an academician I ought to speak from the angle of an academician. Newafanyisha interview wengi, it is pathetic
I have asked you why do you care? And i didnt ask for your status all those story umefanyisha wengi interview so what next kama we ni academician there is a best ways to present the gap you have identified but not kupitia jamiiforums
 
Hv Tanzania hii nayo kuna chuo cha kumcheka mwenzake ,kwa lipi la maana zaidi ya jina.
Nikianza na ww unayejiita academician,
Tuna vyuo vikuukuu,vinginevyo vyote sawa tu .
Tatizo ni ulimbukeni tu mkuu.

Achana nalo hilo halijielewi kazi kujisifia kuwa eti ni academician.

Academician gani huyu anakuwa na akili za kimasaburi.

He's so screwed up!
 
Back
Top Bottom